Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni

Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni

Mjomba niamini mimi kwanza kuna mambo huyo demu anayo

1. Kutoka nje na kukaa sana, alikuwa anafanya nn, alikuwa anaongea na nani akiomba ushauri? Kama ilikuwa atoke nje hasira zipoe mbona alirudi mbogo zaidi, waza hilo kwa kina.

2. Kurudi na kuanza kukupiga na kiatu kichwani, amini ipo siku utalala mazima au kuharibiwa kiungo na huyo demu, inaonekana akilewa hanaga ufahamu, atajakata ivo vinyanya mshenzi, kiufupi mwanamke anayekunywa pombe wengi wao ni kuwa nao makini. Usimsahau kanumba kifo chake kirahisi hivo, stuka mkuu

3. Yani anataka muachane ila uwe unalea kizaigoti, aisee hapo inawezekana kizaigoti kina mwenyewe ila vile kakuona soro anakupachikia tu, na inawezekana mwenye kizaigoti ndio alimpa ushauri akukite kichwani mpaka betri ichomoke manake inaonekana wewe king'ang'anizi.

4. Ushauri tu, umesema kwenye shoo yupo vizuri, mkuu acha kuangalia pornographic materials, lengo la ke/me ni kuzaliana tu na sio hii mizagamuano, yani hata ukiweka tu ndani wazungu wakitoka mtoto akipatikana inatosha. Hakuna sehemu ktk maandiko yanasema mkazagamuane kwa styles, chunga kichwa kidogo kisitese kichwa kikubwa.
 
Mjomba niamini mimi kwanza kuna mambo huyo demu anayo

1. Kutoka nje na kukaa sana, alikuwa anafanya nn, alikuwa anaongea na nani akiomba ushauri? Kama ilikuwa atoke nje hasira zipoe mbona alirudi mbogo zaidi, waza hilo kwa kina.

2. Kurudi na kuanza kukupiga na kiatu kichwani, amini ipo siku utalala mazima au kuharibiwa kiungo na huyo demu, inaonekana akilewa hanaga ufahamu, atajakata ivo vinyanya mshenzi, kiufupi mwanamke anayekunywa pombe wengi wao ni kuwa nao makini. Usimsahau kanumba kifo chake kirahisi hivo, stuka mkuu

3. Yani anataka muachane ila uwe unalea kizaigoti, aisee hapo inawezekana kizaigoti kina mwenyewe ila vile kakuona soro anakupachikia tu, na inawezekana mwenye kizaigoti ndio alimpa ushauri akukite kichwani mpaka betri ichomoke manake inaonekana wewe king'ang'anizi.

4. Ushauri tu, umesema kwenye shoo yupo vizuri, mkuu acha kuangalia pornographic materials, lengo la ke/me ni kuzaliana tu na sio hii mizagamuano, yani hata ukiweka tu ndani wazungu wakitoka mtoto akipatikana inatosha. Hakuna sehemu ktk maandiko yanasema mkazagamuane kwa styles, chunga kichwa kidogo kisitese kichwa kikubwa.
Kuna pointi za kujifunza hapa
 
Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.

Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.

Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.

Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.

Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.

Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.

Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.​
unaitamka mbinguni kirahisrahisi sana. Kama hujaokoka sahau mbingu. kuzimu inakuhusu.


JESUS IS LORD &SAVIOR
 
Back
Top Bottom