Kweli ITV imebadilika, inaonekana Regina Mengi hataki ugomvi na mtu

Kweli ITV imebadilika, inaonekana Regina Mengi hataki ugomvi na mtu

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Muda mrefu nilikuwa sijaangalia TV, ila wiki hii nimeanza kuangalia, imecheki ITV siku kadhaa na hivi sasa naangalia mjadala wa bajeti.

Nilichogundua kuna mabadiliko makubwa sana kwa ITV ya sasa na ya miaka ile, yaani hata hawa wachambuzi wanaoitwa kuja kuchambua bajeti wote ni kumsifu tu Rais, hakuna critical analysis yoyote.

Niliangakia pia Star Tv nikaona mabadiliko makubwa, hawa kwenye mijadala yao wanaita watu wa pande zote, wanaoikosoa Serikali pia wanaita wanaoisifia, wanajitajihidi ku balance, tofauti na miaka ile.

Dada Regina hataki ugomvi!
 
Sisi wengine tulishasau hata chanel yake inavyopatikana, wanasahau kuwa tuko kalne ya 21
 
Muda mrefu nilikuwa sijaangalia TV, ila wiki hii nimeanza kuangalia, imecheki ITV siku kadhaa na hivi sasa naangalia mjadala wa bajeti.

Nilichogundua kuna mabadiliko makubwa sana kwa ITV ya sasa na ya miaka ile, yaani hata hawa wachambuzi wanaoitwa kuja kuchambua bajeti wote ni kumsifu tu Rais, hakuna critical analysis yoyote.

Niliangakia pia Star Tv nikaona mabadiliko makubwa, hawa kwenye mijadala yao wanaita watu wa pande zote, wanaoikosoa Serikali pia wanaita wanaoisifia, wanajitajihidi ku balance, tofauti na miaka ile.

Dada Regina hataki ugomvi!
Sasa hapo tatizo ni la ITV au host wa kipindi?
 
ITV bado wana kesi ya mirathi kosa dogo wahusika watapoteza mali kwa bi mdogo hivyo muhimu sana kusifia mambo yaende barabaraaaaa
 
hivi ile tamthilia ya jumong wanaiweka sasa kwamba

mtoto wa nje ndo atakuja kuiendesha nchi au?
 
Back
Top Bottom