my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Alie sema huu msemo hakukosea. Hasa ukimuangalia wema sepetu. Mimi wema sepetu nimeanza kumsikia sanaa 2015 sababu ndio mwaka nilianza kua active na social media.
Kipindi hicho alikua ashikiki ukimchokoza tu fans wake wanakutukana mpaka utajuta. Fans wake walikua wana matusi sana alikua na fan base kubwa sana ila mimi sikuwahi kuwa fan yake sababu sipendi watu wenye wako na mamwili mkubwa walio vimba vimba lakini kuna watu walimpenda sana.
Lakini ukiangalia sasa hana ushawishi kama zaman fans wake wengi wamemkimbia wengi wanasema hana akili ya maisha ana miaka mingi ya kuwa maarufu lakini ameshindwa kutumia umaarufu wake kutengeneza pesa alilewa sifa za mitandaoni akasahau kuna maisha nje ya mtandao.
Leo hii wema sepetu amepitwa fan base na hamisa mobetto. Hamisa ana fan base kubwa na strong kwa sasa ukilinganisha na wema. Pia hamisa ameweza kutambua hilo na anatumia vizuri fan base yake. Amefungua duka lake halina hata mwaka lakini limekuwa homa ya mji na baadhi ya kampuni wameliona hili na kumpa dili mbali mbali.
Sasa ukiingia page ya wema ukisoma comments anaambulia matusi tu yani leo hii wema amekuwa kama mtoto wa kambo kila mtu anam eza anamuona alichezea maisha yke vibaya. tofauti na hamisa comments nyingi wanampa moyo na kuonesha mapenzi ya dhati walikuwa nayo kwa hamisa.
Huyu hamisa nae ana upungufu wake kwa Diamond lakini kama akiamua kukaa mbali na drama za Diamond atajipatia point ya muhimu sana ambayo itazidi kufanya maisha yake yawe bright lakini na yeye sidhani kama ataweza limudu hili anaonekana ni dhaifu kwa diamond kama vile mwanaume ni diamond tu.
Kwa upande wa wema anaonekana ana majuto lakini atafanya nini amechezea mwenyewe maisha yake anajikaza tu na anaonekana kabisa ugonjwa wa stress unamsumbua .
Btw kuna kitu sana cha kujifunza katika hili mtu unatakiwa uishi kuendana na muda na kuzitumia vizuri chances zinazotokea maishani bila kujali umri bahati haikuji mara mbili na ikishaondoka imeondoka.
Kipindi hicho alikua ashikiki ukimchokoza tu fans wake wanakutukana mpaka utajuta. Fans wake walikua wana matusi sana alikua na fan base kubwa sana ila mimi sikuwahi kuwa fan yake sababu sipendi watu wenye wako na mamwili mkubwa walio vimba vimba lakini kuna watu walimpenda sana.
Lakini ukiangalia sasa hana ushawishi kama zaman fans wake wengi wamemkimbia wengi wanasema hana akili ya maisha ana miaka mingi ya kuwa maarufu lakini ameshindwa kutumia umaarufu wake kutengeneza pesa alilewa sifa za mitandaoni akasahau kuna maisha nje ya mtandao.
Leo hii wema sepetu amepitwa fan base na hamisa mobetto. Hamisa ana fan base kubwa na strong kwa sasa ukilinganisha na wema. Pia hamisa ameweza kutambua hilo na anatumia vizuri fan base yake. Amefungua duka lake halina hata mwaka lakini limekuwa homa ya mji na baadhi ya kampuni wameliona hili na kumpa dili mbali mbali.
Sasa ukiingia page ya wema ukisoma comments anaambulia matusi tu yani leo hii wema amekuwa kama mtoto wa kambo kila mtu anam eza anamuona alichezea maisha yke vibaya. tofauti na hamisa comments nyingi wanampa moyo na kuonesha mapenzi ya dhati walikuwa nayo kwa hamisa.
Huyu hamisa nae ana upungufu wake kwa Diamond lakini kama akiamua kukaa mbali na drama za Diamond atajipatia point ya muhimu sana ambayo itazidi kufanya maisha yake yawe bright lakini na yeye sidhani kama ataweza limudu hili anaonekana ni dhaifu kwa diamond kama vile mwanaume ni diamond tu.
Kwa upande wa wema anaonekana ana majuto lakini atafanya nini amechezea mwenyewe maisha yake anajikaza tu na anaonekana kabisa ugonjwa wa stress unamsumbua .
Btw kuna kitu sana cha kujifunza katika hili mtu unatakiwa uishi kuendana na muda na kuzitumia vizuri chances zinazotokea maishani bila kujali umri bahati haikuji mara mbili na ikishaondoka imeondoka.