Kweli kuna Watanzania wako bize sana na maisha, mtu hajui hata DP World ni nini

Kweli kuna Watanzania wako bize sana na maisha, mtu hajui hata DP World ni nini

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Inafurahisha na kusikitisha pia hebu msikilize huyu jamaa akihojiwa😂😂💔

 
Wako wengi sana, sasa kama mtu anakuambia hiyo dp world itakupa ugali ule, huyo mtu utamuelewaje kama si kumuona ni mjinga, mpuuzi na hajitambui? Hao watanzania wa hivyo wako wengi sana, kwa bora kumepambazuka waingie kwenye mishe zao. Akili hawana ni wajinga na wapumbavu wanaoburuzwa kwa kila jambo kwao sawa tu mradi wanapata mlo wao wa siku, imetoka hiyo!
 
Wako wengi sana, sasa kama mtu anakuambia hiyo dp world itakupa ugali ule, huyo mtu utamuelewaje kama si kumuona ni mjinga, mpuuzi na hajitambui? Hao watanzania wa hivyo wako wengi sana, kwa bora kumepambazuka waingie kwenye mishe zao. Akili hawana ni wajinga na wapumbavu wanaoburuzwa kwa kila jambo kwao sawa tu mradi wanapata mlo wao wa siku, imetoka hiyo!
Masai Dada punguza makasiriko.
 
huoni kama ina impact kwa taifa zima. jinsi pia ilivotikisa tz
Hatuwezi kuzuia hizo mambo ukiona kelele ujue washamaliza kila kitu huko Loliondo Gate tumefanya nini? Gesi tumefanya nini watu wamechukua buree miaka mingi.

Ujue usijue upige kelele mpaka upasuke wao wakishafanya yao hakuna wa kuweza kuzuia..pana Speech ya Trump kuhusu Afrika isome utaelewa
 
Back
Top Bottom