Tetesi: Kweli Magufuli na msafara wake wana roho mbaya hadi GARI za wagonjwa zazuiliwa, bora yeye apite

Tetesi: Kweli Magufuli na msafara wake wana roho mbaya hadi GARI za wagonjwa zazuiliwa, bora yeye apite

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yaani akiwa anatokea kwenye uzinduzi maeneo ya banana kuna njia ya kutokea kinyerezi wakafunga barabara kwa SAA kaza ila baya zaidi hadi GARI za wagonjwa zimezuiliwa yaani hawajali hata wagonjwa mbwa kweli hawa
Huyo ni muuwaji kabisa.
 
sio mbwa ni majibwa kabsa tena koko
Mkuu punguza hasira.....

Yuko wapi Iddi Amin Dada??

Yuko wapi Mbotu Sese Seko??

Yuko wapi yule mbabe mwingine Mfalme Bokassa wa Afrika ya Kati??

Wote hao walifurushwa kutoka kwenye nchi walizoziona "zao" na baadaye Mungu akawapenda zaidi na wamezikwa na watu wasiozidi dazeni moja!

Kila chenye mwanzo duniani hakikosi kuwa na mwisho
 
Mkuu punguza hasira.....

Yuko wapi Iddi Amin Dada??

Yuko wapi Mbotu Sese Seko??

Yuko wapi yule mbabe mwingine Mfalme Bokassa wa Afrika ya Kati??

Wote hao walifurishwa kutoka kwenye nchi walizoziona "zao" na baadaye Mungu akawapenda zaidi na wamezikwa na watu wasiozidi dazeni moja!

Kila chenye mwanzo duniani hakikosi kuwa na mwisho
wako wapi watu wema wa enzi hizo kama mama Teresa? wote pia walisha tangulia
 
Tehe tehe bavicha wamegeuza jf kijiwe cha kuondoa stress
 
Mkuu punguza hasira.....

Yuko wapi Iddi Amin Dada??

Yuko wapi Mbotu Sese Seko??

Yuko wapi yule mbabe mwingine Mfalme Bokassa wa Afrika ya Kati??

Wote hao walifurishwa kutoka kwenye nchi walizoziona "zao" na baadaye Mungu akawapenda zaidi na wamezikwa na watu wasiozidi dazeni moja!

Kila chenye mwanzo duniani hakikosi kuwa na mwisho
Mkuu hiyo mifano tu unaonyesha una hasira zaidi ya huyo uliyemwambia apunguze.JIWE hilo.TUTUBU.
 
Dereva wa gari la wagonjwa angenyoosha tu mguu k*manina
 
vikingine ni kukosa uelewa na woga uliopitiliza katika kutekeleza maagizo ya kazi zao; inawezekana askari aliopo hapo hajui taratibu zikoje na nini anatakiwa afanye au anajua lakini ni uwoga usio na maana.
kwa hili sidhani kama liko hivyo ni makosa ya kiutendaji tu.
 
Yaani akiwa anatokea kwenye uzinduzi maeneo ya banana kuna njia ya kutokea kinyerezi wakafunga barabara kwa SAA kaza ila baya zaidi hadi GARI za wagonjwa zimezuiliwa yaani hawajali hata wagonjwa mbwa kweli hawa
halaf akipewa maiki anaanza eti mimi ni "Laisi wenu, mimi ni laisi kwelikweli wa wanyonge"
 
Unaelewa protocol ya ulinzi wa raisi? Ni bora watu elfu moja wafe ila rais mmoja apone...
Kwa hiyo maisha ya rais yana thamani kubwa kuliko maisha ya wagonjwa hata kama wangekuwa mia.
Ndo ivo. Ujue the World is not equal.
 
Back
Top Bottom