Tetesi: Kweli Magufuli na msafara wake wana roho mbaya hadi GARI za wagonjwa zazuiliwa, bora yeye apite

Tetesi: Kweli Magufuli na msafara wake wana roho mbaya hadi GARI za wagonjwa zazuiliwa, bora yeye apite

Yaani akiwa anatokea kwenye uzinduzi maeneo ya banana kuna njia ya kutokea kinyerezi wakafunga barabara kwa SAA kaza ila baya zaidi hadi GARI za wagonjwa zimezuiliwa yaani hawajali hata wagonjwa mbwa kweli hawa
Umejuaje kuwa ni kweli humo ndani kuna wagonjwa
 
Hata nawe upo kwenye msafara huo,c mhe tu.Kifo hakina mwinyi
 
Wewe ndio fisimaji kabisa, hilo gari lilikuwa na mgonjwa au lilikuwa linapeleka kadi za clinic, mimba uchomeke mwenyewe tukupe gari bure tumzalishe bure halafu ututukane haya yapo africa tu,
 
Yaani akiwa anatokea kwenye uzinduzi maeneo ya banana kuna njia ya kutokea kinyerezi wakafunga barabara kwa SAA kaza ila baya zaidi hadi GARI za wagonjwa zimezuiliwa yaani hawajali hata wagonjwa mbwa kweli hawa
Mkuu Gost, it costs nothing kutumia lugha za kistaarabu kuwasilisha hoja bila kutukana watu "mbwa hawa".

Anayezuia magari barabarani ni Rais Magufuli au ni traffic?, kwa nini umtukane asiyehusika?.

Magari matatu huwa hayasimamishwi kupisha msafara, haya ni gari la wagonjwa, ambulance, gari la zimamoto, fire, na gari la polisi ya tori tori, vingora.

Kama imetokea ambulance kusimamishwa ni kosa la traffic kilaza na dereva mwoga wa ambulance na sio kosa la Magufuli na msafara wake.

Ustaarabu ni bure, ila kumtukana mtu asiye na kosa, ni kujichumia tuu dhambi za bure ambazo utapigika bure mapigo ya karma, kufidia dhambi hiyo. Kuna mabalaa mengine ni mabalaa ya kujitakia kwa kujua au bila kujua.

P
 
Matusi sio mazuri mkuu, japo kweli ni jambo la kuudhi kiasi fulani.
 
Umetumia Lugha Kali kwa mkuu ingekuwa fb balaa lingekudondokea

Ova
 
Unaelewa protocol ya ulinzi wa raisi? Ni bora watu elfu moja wafe ila rais mmoja apone...
Kwa hiyo maisha ya rais yana thamani kubwa kuliko maisha ya wagonjwa hata kama wangekuwa mia.
Ndo ivo. Ujue the World is not equal.
Dumb you, ni wapi imeelezwa raisi alikjwa hatarini ata mgonjwa afe, acha kujishushia thamani we mbweigola
 
Back
Top Bottom