USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Umejuaje kuwa ni kweli humo ndani kuna wagonjwaYaani akiwa anatokea kwenye uzinduzi maeneo ya banana kuna njia ya kutokea kinyerezi wakafunga barabara kwa SAA kaza ila baya zaidi hadi GARI za wagonjwa zimezuiliwa yaani hawajali hata wagonjwa mbwa kweli hawa