Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Umeona Jerry muoga halaf et yanatuambia mimi,wewe na jerry ni mtu mmoja hahahhahhhaha kumbe alikuitaa siku nyingine ikitokeaa ligi tunaachana nao tunaendelezas mistari ya injili tu ndio dawaa
Hapana wakati mwingine injili iwekwe kando watu wapate makavu yao....
Usichoke kuniita waletapo mbofu mbofu..