Kweli maisha mzunguko! Dogo Janja awapigia magoti TipTop na kuomba msamaha

Umeona Jerry muoga halaf et yanatuambia mimi,wewe na jerry ni mtu mmoja hahahhahhhaha kumbe alikuitaa siku nyingine ikitokeaa ligi tunaachana nao tunaendelezas mistari ya injili tu ndio dawaa

Hapana wakati mwingine injili iwekwe kando watu wapate makavu yao....

Usichoke kuniita waletapo mbofu mbofu..
 
Hivi kwanini watu wa Arusha na Moshi wengi wana meno meusi?
 
Hivi kwanini watu wa Arusha na Moshi wengi wana meno meusi?

Point of correction ni waarusha tu hasa wsnaotoka Arumeru na sababu ni maji wanayo tumia na niwale waliokulia tangu utotoni ila ukienda ukubwani hauwezi kudhurika.
 
Point of correction Maji ya Arusha yana floride nyingi compare Na mikoa mingine
 
Reactions: Dyf
Hii picha ilipigwa Arusha 2010. Uzinduzi wa Tigo pesa, Tripple A Arusha. Dogo alipagawisha sana na ndio Madee alimuona akaapa kumsaidia, na ndio ikawa kutoka kwa Dogo Janja, chalii ya ArChugga
 
The team will be staying at Royal Park Hotel in Yokohama.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…