Kweli makalio ya sufuria hayaogopi moto

Kweli makalio ya sufuria hayaogopi moto

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Kina dada kwa nini hamziogopiiii????????
Mziogope hata kidogo
 
kuziogopa nin?
taa za barabaran?twaziogopa ndo mana twaangalia uku na uku b4 hatujavuka barabara!!!!
 
quote_icon.png
Originally Posted by henge
ni kweli unaweza kukuta zingine zinameno!

Lakini meno yenyewe ya udongo sio sharp, so unakanya tu tena peku
 
mpaka hapa sijakamata kitu....nini hizo za kuogopa?
 
we afrodenzi unaakili sana ulizaliwa alfajiri nini?Waziogope kwani zinashoti ya umeme ndani yake
 
we afrodenzi unaakili sana ulizaliwa alfajiri nini?Waziogope kwani zinashoti ya umeme ndani yake


ndo maana yake...
tukiziogopa hakuna mtu atakaye pata raha dunia hii.hahahah
hiyo ni dhahabu bwana uwe maskini au tajiri
bado uta ipata ...lol
 
ndo maana yake...
tukiziogopa hakuna mtu atakaye pata raha dunia hii.hahahah
hiyo ni dhahabu bwana uwe maskini au tajiri
bado uta ipata ...lol

Mmmmmmmmmhhhhhh kweli kasi zaidi
 
Back
Top Bottom