Kweli mapenzi ni mental disease


Nilijua ni mtu mzima kumbe bado unasumbuliwa na makuzi
 
Nashukuru Sana kiongozi. I need a new version of me
Ingia Google andika neno hili mfupi utasahau kila kitu

Ili unielewe unatakiwa uende extra miles huwezi kunielewa km unatumia akili za kawaida

Ingia Google andika neno hili "vagabond" soma maana yake kisha anza kuishi hio lifestyle I'm telling you ndani ya muda mfupi utasahau kila kitu

Ili unielewe unatakiwa uende extra miles huwezi kunielewa km unatumia akili za kawaida
Thanks Sana. Ntadeal nayo nahitaji new version of me
 
Kabisa
 
Ingawa ni kweli niliwahi pigwa tukio, lakini tayari nilishakuwa hivyo hata kabla ya kupigwa tukio.

Naweza nimtake mwanamke na akaja hadi chumbani, halafu nikamfukuza bila kumla.

Huwa napenda mwanamke aninyenyekee na ajishushe kabisa mbele yangu. Akijichanganya itakula kwake.

Na hii ndiyo sababu ya kushindwa kuwa na mchepuko wa muda mrefu. Nikimpiga leo ndo tuache mazima. Asinijue wala kuleta ukaribu.
 
ni ujinga na upumbavu wa kimataifa kumpenda mtu asiyekua na hisia kwako. unalazimisha mapenzi utaumia zaidi na zaidi. tambua kuwa #LOVE_LAVINHO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…