Kweli mapenzi yananenepesha

mkuu achana na wanawake, em tuendelee, vipi tufungue kampuni au viwanda vya uzalishaji nini?.
 
ww mwenyw unaweza usione huo mng'ao, Ubaya wa mahusiano ukiwa nae ww Kuna mambo mengi mazuri ww huyaoni kwake lkn wengine wanayaona, ukishakua na access na mwanamke kuna namna....
Huwa ipo hivyo Sana...basi ndo maana tunaombeana kuwa "vyuma chakavu" ukitokea mmwagano 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…