Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #121
Kazi kwenuHaya sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kwenuHaya sasa
Angalia namna nyingine ya kumpa furahavyoye hivyo sidhani kama anatumia na sitaki atumie hata kidogo, na ukizingatia wote sisi ni waislam.
kwa ufupi wote sisi hatutumii
Nina wajukuu mkuuVitoto vya 2000 vikiingia kwene mapenzi tabi tupu!!
vina muda vyenyewe hivi bas
Emoticons tu?[emoji2][emoji2][emoji2]
kimbe upo bega kwa bega🤣Anajiita mpaji... wa god 😀
Akili yako bado haijakomaaNina wajukuu mkuu
Ikomae, imekuwa embeAkili yako bado haijakomaa
Mpe nafasi akufungulie dunia 😀kimbe upo bega kwa bega🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo apa ameniletea supu aliyopika huku amejifunga mtandio tu, kweli mapenzi raha.
Unadhani hakina jimboChukua chuma hicho
Leta evidence bibie wacha tantalilakwaio hum jf kila dada n mweupe
Siku 7 tu umekuja kuandika post? Subiri kijana haraka ya nini, utaogopa ht kurudi nyumbaniTangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.
Leo marafiki zake wakaribu wakamuuliza, mbona mwenzetu unanawili tu na unapendeza? Akashindwa kuwajibu.
Sasa mida hii ndio tunapiga stori, ndio ananisimulia yaliyojiri huko mtaa wa pili; nami nikwamabia, kweli unapendeza na unavutia.
Akasema tangu nimekuwa na wewe sina mawazo tena, kwa nini nisipendeze?
Hapa nilipo, nimemkumbatia yuko kifuani kwangu; ukichangia na hii mvua inayonyesha! dah wananzengo msinionee wivu; pambaneni kutafuta wa kwenu.
🤣 Unataka kuniuza wewMpe nafasi akufungulie dunia 😀
nataka nije live toa locationLeta evidence bibie wacha tantalila
Kkoo, aggrey na likomanataka nije live toa location
Mtachokana tu. 🤣Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.
Leo marafiki zake wakaribu wakamuuliza, mbona mwenzetu unanawili tu na unapendeza? Akashindwa kuwajibu.
Sasa mida hii ndio tunapiga stori, ndio ananisimulia yaliyojiri huko mtaa wa pili; nami nikwamabia, kweli unapendeza na unavutia.
Akasema tangu nimekuwa na wewe sina mawazo tena, kwa nini nisipendeze?
Hapa nilipo, nimemkumbatia yuko kifuani kwangu; ukichangia na hii mvua inayonyesha! dah wananzengo msinionee wivu; pambaneni kutafuta wa kwenu.
kama we n mzee bas tena hasara kwa wajukuuIkomae, imekuwa embe
Pindua meza mkuuUnadhani hakina jimbo