Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
sawa atamim nausubir uo mdaKuna muda utafika, utaileta mwenyewe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa atamim nausubir uo mdaKuna muda utafika, utaileta mwenyewe tu
Moyo wako haujaumbiwa ?Mmmh we kuweza
Si kesho tu, utaanza kutuimbia pambiosawa atamim nausubir uo mda
huu sasa umbeaSi kesho tu, utaanza kutuimbia pambio
Unaambiwa ukweli 😎huu sasa umbea
ukweli mchungu ivUnaambiwa ukweli 😎
Unatambuaukweli mchungu iv
Chukua chuma hicho 😀, na hii baridi hakikisha amepata kawainiMoyo wako haujaumbiwa ?
Nitakukumbushahuu sasa umbea
AsanteUnatambua
sitakua na bandoNitakukumbusha
Dah sisi tulio mbali na wapenzi mbona ni balaa sasaTangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.
Leo marafiki zake wakaribu wakamuuliza, mbona mwenzetu unanawili tu na unapendeza? Akashindwa kuwajibu.
Sasa mida hii ndio tunapiga stori, ndio ananisimulia yaliyojiri huko mtaa wa pili; nami nikwamabia, kweli unapendeza na unavutia.
Akasema tangu nimekuwa na wewe sina mawazo tena, kwa nini nisipendeze?
Hapa nilipo, nimemkumbatia yuko kifuani kwangu; ukichangia na hii mvua inayonyesha! dah wananzengo msinionee wivu; pambaneni kutafuta wa kwenu.
HaswaaChukua chuma hicho 😀, na hii baridi hakikisha amepata kawaini
Nitakutumia kwa jfpesasitakua na bando
Jisogeze kwa aliye karibu na weweDah sisi tulio mbali na wapenzi mbona ni balaa sasa
Kasepa kaanzisha Uzi hii mvua haitaki chai wala mapenziHaswaa
Slide pmnmefika
Mtembelee kule nyumbani 😀Kasepa kaanzisha Uzi hii mvua haitaki chai wala mapenzi
Napiga timing, ubovu sio mtu wa movie sasa ningemjazia majina ya movie tam tamMtembelee kule nyumbani 😀
ntashukuru sanaNitakutumia kwa jfpesa