Kweli mioyo ya watanzania imekuwa migumu zaidi ya mawe. Unaanza vipi kutumia vidonge vya PrEP ?

Kweli mioyo ya watanzania imekuwa migumu zaidi ya mawe. Unaanza vipi kutumia vidonge vya PrEP ?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Kuna daktari mmoja hapa mtaani ana ka pharmacy kake kadogo ka mchongo ambako hutumia muda wa jioni kusogezea siku. Basi bhana, ikabidi nikaonane naye kutokana na masuala mazima ya ushauri nasaha kuhusu matumizi ya pombe yaliyokithiri yaliyosababishwa na homa ya mapenzi

Wakati nilikuwa nikipata mawili matatu, ndipo mteja kuingia, akazungumza na daktari kuwa anahitaji PrEP, baada ya kuondoka ndipo nikamuuliza daktari kuwa PrEP ndo PEP maake naona mteja kataja ndivyo sivyo. Daktari ndipo kunielewesha kuwa PrEP ni opposite ya PEP, na PrEP ni vidonge anavyomeza mtu ndani ya masaa 2 kabla ya kufanya mapenzi na mpenzi anayekisiwa huenda akawa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI

Itoshe tu kusema watanzania tuna mioyo migumu sana, unaanzaje kufanya mapenzi na mtu mwenye VVU bila kinga kwa kigezo cha eti unatumia PrEP?
 
Kuna daktari mmoja hapa mtaani ana ka pharmacy kake kadogo ka mchongo ambako hutumia muda wa jioni kusogezea siku. Basi bhana, ikabidi nikaonane naye kutokana na masuala mazima ya ushauri nasaha kuhusu matumizi ya pombe yaliyokithiri yaliyosababishwa na homa ya mapenzi

Wakati nilikuwa nikipata mawili matatu, ndipo mteja kuingia, akazungumza na daktari kuwa anahitaji PrEP, baada ya kuondoka ndipo nikamuuliza daktari kuwa PrEP ndo PEP maake naona mteja kataja ndivyo sivyo. Daktari ndipo kunielewesha kuwa PrEP ni opposite ya PEP, na PrEP ni vidonge anavyomeza mtu ndani ya masaa 2 kabla ya kufanya mapenzi na mpenzi anayekisiwa huenda akawa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI

Itoshe tu kusema watanzania tuna mioyo migumu sana, unaanzaje kufanya mapenzi na mtu mwenye VVU bila kinga kwa kigezo cha eti unatumia PrEP?
Hivi wewe ndo Melki The story Teller?
 
Ndugu
Sasa si utumie Kinga?
Yangu unanijaribu au yaani uliwahi fanya kavu na Kinga wapi ulisikia Raha zaidi ?
By the way hayo mapep na prep ninayo mengi Geto nayafanyia uchunguzi juu ya matumizi yake hasa kwenye muda kwahiyo Kuna muda inabidi niingie front kuhakiki walipokosea wanasayansi wenzangu .
 
Back
Top Bottom