Kweli Morocco ipo Afrika au tunajipendekeza?

INJECTION TECHNICIAN

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2020
Posts
356
Reaction score
794
Kwa position kama hizi siamini kama Morocco ni waafrika hawa ni Washington kabisa ni kosa kubwa Kuwa jumuisha kwenye bara la watu wa ovyo.
 
Kwa position kama hizi siamini kama morocco ni waafrica hawa ni Washington kabisa ni kosa kubwa Kuwa jumuisha kwenye bara la watu wa hovyo.
Mfalme Mohammed V alitoa msaada pale Kinondoni umesahau? Pia atajenga uwanja wa mpira wa miguu Dodoma. Hawa ni ndugu zetu kabisa.
 
Mfalme Mohammed V alitoa msaada pale Kinondoni umesahau? Pia atajenga uwanja wa mpira wa miguu Dodoma. Hawa ni ndugu zetu kabisa.
Labda ataboresha ule uwanja wa fisi kule dsm🤣🤣

Kongole mama anaupiga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…