Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Acha mihemuko,endelea kufanya yakupasayo
 
Malezi yana kazi sana karne hii. Yaani wazazi wenu wanajua mko chuo mnasoma, wanajinyima, wanatuma pesa ili msome bila taabu lakini kumbe mnawekana kinyumba tu. Mnafunuana nyuchi zenu kama wehu.
Tulieni mjitengenezee baadae yenu iliyo nzuri.

Wakati mwingine usijiingize mzima mzima kwenye mapenzi.
 
Ila huu upuuzi wa wanafunzi wa chuo kuwekeana yamini na lust zao sijui wanautoaga wapi!!! Wakishafika chuo wanazuzuka, wanahisi ndio wamemaliza maisha, kumbe ndio kwanzaaa kumekucha.
Matokeo yake balaa tupu.
 
Malezi yana kazi sana karne hii. Yaani wazazi wenu wanajua mko chuo mnasoma, wanajinyima, wanatuma pesa ili msome bila taabu lakini kumbe mnawekana kinyumba tu. Mnafunuana nyuchi zenu kama wehu.
Tulieni mjitengenezee baadae yenu iliyo nzuri.

Wakati mwingine usijiingize mzima mzima kwenye mapenzi.
Umesahau kwamba chuo wanasoma hata wazee. Au ulijua wanasoma primary
 
Bora wewe ulikuwa ujawekeza pesa. Uliwekeza moyo na vitu vidogo vidogo. Hawa viumbe siyo wa kuamini kabisa. Lakini mwisho wa siku ujuta baada ya kutemwa alikokimbilia.
 
Story nyingi za vijana ni mapenzi kunanini?????????????????? Kwanini vijana hawaji nakitu kipyaa kwenye jamiii yetu??? Kunachangamoto nyingi mno??
 
pole sana....maisha aya cio ya kumuamini msichana uliyekutana nae chuon...!akili ya msichana ni rahis mno kushawishika...!
 
Umesahau kwamba chuo wanasoma hata wazee. Au ulijua wanasoma primary
Umeshindwa hata kuisoma simulizi ya kijana mwenzio na kuielewa?Umekosa hata cha kumshauri maana hukuelewa na umeshindwa kutambua rika lake kutoka kwenye simulizi yake. Ukaona cha maana ni kuparamia michango ya wengine....!?

Unahitaji kuongeza uwezo wako wa kuelewa na kupunguza uwezo wako wa kushambulia.
 
Mwanamke anahitaji zaidi vitu vitatu tu, Love, Care and Time. If she misses one the above-mentioned things utamshabgaa na kumlaunu bure. Wanaume tujitahidi kwa wake zetu juu ya mambo hayo
 
Hili swala ni Mtambuka ndugu. Anyways, Sometimes we re used as bridges to make the desired people to Destinate. Usilaumu sana ingawa maumivu yake hayasimuliki
 
Pole sana extrovert.

Kama wewe ni mzazi na binti yako yupo chuo na anaishi huko huko, una kazi kubwa sana ya kumwombea.

Nimeshuhudia watoto wa kike chuo wakijiuza kwa style ya kupeana dili. Mmoja akimpata mwanaume na huyo mwanaume ana rafiki yake ambaye anahitaji mwanamke, basi yule binti anawapa dili rafiki zake.

Kwa wiki binti anaweza kulala na wanaume watano.

Ila hapo ana mmoja ambaye ni boyfriend wake.

Sasa wewe kidume mkikutana unataka kumnyonya chini wakati unalamba fungus.

Wiki nzima mtoto wa kike ameona na kupata ladha tano tofauti. Nawaonea huruma wadogo zangu ambao hamjaoa.
 
Back
Top Bottom