Kweli Ndoa yataka Moyo.....



Kwa hatua iliofikia huenda umechelewa kiasi kuomba ushauri, kwa kuwa sasa utapaswa kutumia nguvu uweze kuweka mambo kwenye mstari.
1. Inapotokea swala kama hili la sms n.k unapaswa kuwa na msimamo, yaani onyeshwa kukerwa, na unapo uliza weka ule u dear kando; kuwa serious na usikubaliane na majibu mepesi. Ikibidi mwambie achague moja.
2. Lilipofikia nadhani unapaswa kuwahusisha wazee/viongozi wa dini unayoabudu, waeleze A-Z bila kuficha chochote.

Ukilichukulia mzaha swala hili mwisho wake litakuja kuleta athari kubwa sana kwako na familia yenu kwa ujumla.
 

Unajua jamii hasa ya wanawake ndio inayowafanya wanawake wengi wajione wanyonge na ni fault yao kila wanaume wanavyocheat; it is so sad kwa kweli maana kwa mtazamo wangu mtu ana cheat kwakuwa ameamua kwani there is always another way out of any situation or problem.
BTW hata wanaume pia hunyong'onyea pale wake zao wanapowasaliti na kujiona wana mapungufu fulani. Which is wrong, kwa maana kwamba as long as umeamua kuwa na mimi na mapungufu yangu basi unapaswa kuwa na mimi, kama huwezi the door is always open. You cant eat your cake and still have it! If you arent ready for commitment then dont commit yourself; as mapungufu (iwe nguvu za kiume, au mvuto kupungua) are as sure as sunshine!
 
Huwa narefer story yako kila ninapokumbana na issue kama hizi; and l think, ilikutokea hiyo ili uweze kuwasaidia wengine wenye shida za namna hiyo.
Basi once again, nakuomba; nenda naye another stage further, akupe contacts zake uendelee kumjenga zaidi (simu etc). She seems to be somewhat naive and too nice (jinsi hata anavyojibu post "......nimekuelewa nitafanyiakazi...." sort of majibu) so she need a strong woman like you to mentor her.
 

hivi unajua kwanini nakupenda!nafkir sijawahi kukwambia
na hakika nakwambia hapa peupe namna hii!
UNA MOYO WA PEKEE SANA!kimsingi i envy you mi kuna watu wananiona strong lakini walahi sifungui gidamu za viatu vyako!NAKUPENDA SANA mwali!sana!
 
Nawashukuru wandugu kwa mawazo na michango yenu katika hili naamini in the end kila kitu kitaisha and i will be as much happy as I am
 
Mmeo kaingia na utoto kwenye ndoa usithubutu tena kumruhusu kuwa eti ni just a friend huyo X wake na kosa umechangia kwa kiasi kikubwa kuruhusu huo hayo mawasiliano yao.Wenzio huwa tunaomba kistaarabu mawasiliano yakatishwe tukiona hamna uelekeo kesho yake tunatoa amrri na kitisho juu kwa mume.Shenzy type mawasilano ya nn wakati mmeachana. kwani wamekuwa busness partners hao? Kama unataka upate bp au kisukari siku moja endelea kuruhusu huo ujinga kwenye ndoa yako.
 
hivi unajua kwanini nakupenda!nafkir sijawahi kukwambia
na hakika nakwambia hapa peupe namna hii!
UNA MOYO WA PEKEE SANA!kimsingi i envy you mi kuna watu wananiona strong lakini walahi sifungui gidamu za viatu vyako!NAKUPENDA SANA mwali!sana!
am dearly humbled ma dearest.
i love you snowhite na najua wajua kwann mamii huwa nakupenda.

btw nimejaribu kutuma pm kwako na mwaJ na FP na cacico naona imegoma kudeliver sijui nitafanyeje mamii kuhusu ule mpango wetu.
 
Last edited by a moderator:
Nazidi kumwomba Mungu azidi kunipa ujasiri na nguvu katika hili ili mwisho wa siku nifanye maamuzi ya busara na nisimwonee mtu

Mungu wa siku hizi anataka na nguvu zako angalau zitumike ndo atende kazi.You have to change....
 
am dearly humbled ma dearest.
i love you snowhite na najua wajua kwann mamii huwa nakupenda.

btw nimejaribu kutuma pm kwako na mwaJ na FP na cacico naona imegoma kudeliver sijui nitafanyeje mamii kuhusu ule mpango wetu.
FP will chek with her later najua pa kumpata,cacico nakuachia mwaJ pia naweza kumpata mahali! Kaunga anahusika hapa pia!ntambrief
 
Last edited by a moderator:
nashukuru sana snowhite nafikiri basi tukae nae sote mm na wewe mamii manake tunajijua jinsi tulivyoshibishwa ile roho ya umama.

yup!anytime mwali . true_diva huwa hatushushi mikono kirahisi hivo!
bidae tutafte chemba tufanye mpango! hakuna kulia lia hapa!
funga kanga chini ya tumbo twende kazi!
 
Last edited by a moderator:
nashukuru sana snowhite nafikiri basi tukae nae sote mm na wewe mamii manake tunajijua jinsi tulivyoshibishwa ile roho ya umama.

Kama madam gfsonwin umeliingilia hili swala natumaini majibu ya ukweli yenye busara kwa mpendwa wetu juu ya tatizo lake yanaenda kuisha.MUNGU AKUBARIKI DADA UKAENDE KUINUSURU NDOA YA MWENZETU.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni mkristo, kumbuka kiapo "kifo ndo kitawatenganisha"..... Muombe Mungu atafungua njia.
 
FP will chek with her later najua pa kumpata,cacico nakuachia mwaJ pia naweza kumpata mahali! Kaunga anahusika hapa pia!ntambrief

thats why i love you mamii. basi wewe fanya yako na mm nifanye yangu ili mwisho wa siku tuwe kama tulivyotaka kuwa.

unakumbuka ahadi yetu ya kwaresma hii?? napenda sana kuona sasa tumekuwa wamama wenye tija.
 
Kwanza amini wewe ni wa thamani sana mbele ya Mungu na Mumeo.alipokuoa wewe alikuwa Anajua vzr kuwa kuna mwingine kabla yako ila akaona wewe ndo unayefaa kupewa heshima ya mke.huyo anayetukana hajielewi hata yuko wapi!kwanza ame simama jalalani kila mtu anatupa uchafu yeye anaona yuko kwenye bustani Nzuri sana.usijibizane nae hata kidogo kwani atakushusha heshima yako.Mumeo mwambie unashukuru sana kwa namna anavyokudhalilisha then nyama za kimya na usimfuatilie tena mauzauza yake.ila huduma zote umpe Kama vile hakuna kitu kilichotokea.ukigombana nae unamvimbisha kichwa.matokeo ya Haya uyalete tena hapa jamvini utapata ushauri mwingine.
 
yup!anytime mwali . true_diva huwa hatushushi mikono kirahisi hivo!
bidae tutafte chemba tufanye mpango! hakuna kulia lia hapa!
funga kanga chini ya tumbo twende kazi!

imeandikwa nimeweka jambo jipya chini ya mbingu ya kwamba mwanaume atalindwa na mwanamke. sasa hatulindi kwa mapanga na bastola jamani bali kwa maombi na sadaka.

na pia dada true_diva biblia inasema ukizimia siku ya taabu yako nguvu zako ni chache. na mtu akishindana kweye machezo hapewi taji hadi ameshindana kwa halali. na mwisho wa siku vita ikimalizika utavalishwa taji. taji ya nini?? ya furaha, upendo, ndoa njema, watoto wenye siha njema, mume mwenye heshima umeona??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…