Kweli Ndoa yataka Moyo.....

What is cooking with you gals?????

tumechoka kulia lia rev mother!tumechoka!kuna kitu tunataka tufanye!hatuwezi kuwa nyuma ya keyboard kila siku na handkierchief kila siku! mweh!will pm yu.
 
am dearly humbled ma dearest.
i love you snowhite na najua wajua kwann mamii huwa nakupenda.

btw nimejaribu kutuma pm kwako na mwaJ na FP na cacico naona imegoma kudeliver sijui nitafanyeje mamii kuhusu ule mpango wetu.
kabla sijasema lolote kuhusu hii mada kusikia pm tu kuhusu ule mpango wetu masikio yooote yanasikilizia hiyo pm, haiji tu jamani? lol! haya jitahidi mamii ifike.
Hongera sana kwa mchango mzuri, naamini akizingatia hayo mambo yatakuwa mazuri kabisa
 
Kama madam gfsonwin umeliingilia hili swala natumaini majibu ya ukweli yenye busara kwa mpendwa wetu juu ya tatizo lake yanaenda kuisha.MUNGU AKUBARIKI DADA UKAENDE KUINUSURU NDOA YA MWENZETU.

nashukuru sana mamii kwa imani yako kwangu, basi na we pia waweza kuwa miongoni mwa watu watakao msaidia huyu dada kwa maombi na ushauri mzuri mpenzi wangu.
 
FP will chek with her later najua pa kumpata,cacico nakuachia mwaJ pia naweza kumpata mahali! Kaunga anahusika hapa pia!ntambrief
waiting to hear from you mlongo wangu. Ila ingewezekana kutuma group PM ili tuchangie kwa pamoja, yaani kila anayejibu atume kwa wote ili tusome kila mtu anadsemaje, mambo ya kusema gfsonwin alisema hivi na baadae mwaJ au cacico au Kaunga akaijibu hivi yana-dilute kila kitu..... au mwaonaje?
 
Last edited by a moderator:
kwanini huwa tunaamini sana kuwa kutoka nje ni mapungufu ya mwenza !
WAKATI MWINGINE HUWA TUNATOKA NJE KWA KUWA WENZI WETU NI WAKAMILIFU MPAKA TUNATAMANI KUFANYA DHAMBI TUWACHAFUE!mwanadamu huwa simwelewi kwa kweli!simwelewi kabisa!yani kabisaaaaaa!
:smile-big::crying:....HILO NALO NENO...
 
i recognize your concern...thanks alot

karibu mamii!
relax!
hakuna dogo wala kubwa katika ndoa!
nahs napata courage zaidi kuliface hili pamoja nawe kiimani!
MUNGU WAKO YUPO HAI!NA WALA HATAACHA MGUU WAKO USEPETUKE WALA HATAACHA ADUI YAKO AFURAHI!
 
binti, hakuna cha ushuari hapo, uamue ili mumeo aamue

hiyo ni vita kati ya wewe na huyo dada ambaye anaamini wewe ulimpora penzi,

.....Kamanda TIMING big up sana kwa kuliona hili. Huyo ex- g'friend mpaka ana tweet mambo ya chumbani inajionyesha yupo desparate 'kuichokonoa' ndoa ya huyu mdada.

......mwanaume 'ustaarabu' wake kwenye case hii unaweza kumponza. Anayumbishwa na mkewe hapa!

......dada mwenye thread hii, hebu nawe uwe na busara.Unapomshinikiza mumeo amkanye ex wake, hujui unamsukumia upande ule pia?

Unachokozwa nawe unachokozeka? badala ya kuimarisha nyumba yako weye unaibomoa. Mumeo kakuchagua wewe na anataka utulivu bana.... Msaidie mumeo kwa kumuonyesha hajakosea kukuoa na hubabaishwi na huyo 'reject!'
 
Last edited by a moderator:
sawa dada mkubwa! gfsonwin ndo mwenywe na makitu ya group messages atafanya tu mambo fasta ngoja kukae fresh !ila tupe pole wenzio hali yetu sio nzuri ujue!hizi 60% ziro tunazipeleka wapi!lol!
ila shetani kweli anatucheza pabaya hivi kwa familia na baba wa aina hii na mama anayekosa amani kiasi hiki kuna mtoto anayesoma kweli?
uuuiwh!jamaani jamani!maumivu tunayowasabishia wenza wetu yanaathiri na kula kwetu pakubwa sana basi tu huwa hatuangalii mambo kwa jicho la tatu!
 
Last edited by a moderator:
yup!anytime mwali . true_diva huwa hatushushi mikono kirahisi hivo!
bidae tutafte chemba tufanye mpango! hakuna kulia lia hapa!
funga kanga chini ya tumbo twende kazi!
nyie wamama wenzangu..... kweli tukiendelea na mambo haya tunaweza tukamaliza kabisa lile tatizo la "ndoa za siku hizi hazidumu"
kwani hao wa siku hizi wametokea wapi? si kwetu wenyewe? hawa ni mashina yetu, ni kwamba tu siku hizi yale mambo tuliyokuwa tunaambiwa hakuna kulia lia hayapo.
mimi naamini inahitajika push kidogo tu na kila kitu kitarudi kama kilivyokuwa zamani (bila kuhusisha ngumi za barabarani, lol)
 
Thanks Mkwai,I working harder to keep the relationship healthy for my own happiness and my family as well especially the kids....I think I will combine all the advice,comments and suggestions to keep it alive,strong,happy and healthy.
 
Nafikiri mumewe ni mshenzi 100 times. Ushenzi na kiburi cha huyo dada kinapaliliwa na mumewe!

Hapana, ex- wengine ni 'wajinga' sana, wanaharibu wenyewe mahusiano kisha wanajifanya hawaelewi somo, usipokuwa na moyo thabiti, wanakufanya MSUKULE...
 
haswaaaa!sasa ngumi nipiganie cha kwangu!ah!wapi!
wapo wanaipswa kupigana ngumi sio mke aliye ndani!
 
kwanini huwa tunaamini sana kuwa kutoka nje ni mapungufu ya mwenza !
WAKATI MWINGINE HUWA TUNATOKA NJE KWA KUWA WENZI WETU NI WAKAMILIFU MPAKA TUNATAMANI KUFANYA DHAMBI TUWACHAFUE!mwanadamu huwa simwelewi kwa kweli!simwelewi kabisa!yani kabisaaaaaa!

Kwa nilivyo observe so far kwenye ndoa nyingi (but sio zote) mmoja akitulia sana mwingine ana gain confidence ya kufanya madudu. Kuna dada alidiriki kusema hata mume wake akijua ana-cheat hawezi kumuacha kwa sababu hana mwanamke wa nje.
Haya mambo ni kitendawili.
 
believe me mlongo wangu nimesoma hayo matokeo huku machozi yananitoka.......
mbaya zaidi nimesoma matokeo ya shule ambayo mtoto wa dadangu alikuwa anasoma (St. Francis) nimekuta kuna div 1 na 2, 3 wawili tu..... nikawaza hawa watoto wangesoma kwenye shule ndo tunaziita St. Kayumba nao wote ingekuwa zero.... ila kwa vile wazazi wao wana uwezo basi wamekimbia lile group la sufuri...... tunatengeneza gap gani hapa?
sasa hivi tunalia na kuchinjwa maPadre kesho tutalia na kuchinjwa maofisa, maana sasa vita itakuwa kati ya waliopata nafasi ya kusoma na waliotapeliwa elimu, inauma sana sana sana kabisa.
Poleni mamii, ila pole na sisi maana sitamani hata kuangalia matokeo ya mayatima wangu 3 nilikuwa nawalipia ada huko shule za kata.........
 
Thanks Mkwai,I working harder to keep the relationship healthy for my own happiness and my family as well especially the kids....I think I will combine all the advice,comments and suggestions to keep it alive,strong,happy and healthy.

enheeee mi napenda mtu ashaurike afike hapa!
kwa taaluma yangu ya ualimu hapa unasihi ndo unaweza ukafanya kazi sasa hapa!AHSANTE SANA true_diva hujui tu vile umenipa tabasamu kwa hiki ulichoandika hapa!
ukitaka kuelewa naongea nini rudi toka page ya kwanza uone post zako na sasa uisome hii!kuna kitu nakiona!
na huyu ndiye mwanamke nataka kwenye shida ya aina hii!THIS SPIRIT babe girl!THIS SPIRIT.
 
Last edited by a moderator:
haswaaaa!sasa ngumi nipiganie cha kwangu!ah!wapi!
wapo wanaipswa kupigana ngumi sio mke aliye ndani!
he he heeeee, umenikumbusha hii.......
siku mwizi mmoja alinitumia sms kushtaki kuwa kuna mwizi anamuibia........ wamezozana huko weeee wakaamua kuleta shitaka kwa mwenye nyumba, lol! halafu hata sikumjibu kitu akabaki analalamika kwa wenzake tu "kweli huyu ana uchungu na mumewe!" sasa unataka nikufaidishe wewe?
 
nashukuru sana snowhite nafikiri basi tukae nae sote mm na wewe mamii manake tunajijua jinsi tulivyoshibishwa ile roho ya umama.
ntawashukuru sana wapendwa mkiniokoa mwanamke mwenzenu katika hilo naamini tukiunganisha mawazo,michango,maoni,akili na nguvu zetu kwa pamoja itanisaidia kuokoa ndoa yangu na watoto wangu pia na kuilinda familia yangu dhidi ya aibu na fedheha na zaidi katika yote naamini nitajifunza mengi kutoka kwenu...

Nawakubali sana wapendwa and am looking forward to hear from you both...
 
huyo dada naye kama siyo kichaa basi ni mwendawazimu........
anatakiwa kujua kuwa kutokumkamata mwenzie kama ana-cheat haina maana kuwa hana mwanamke mwingine. wooote wanaanzia na kujiaminisha kuwa wapo peke yao mpaka watakapohakikisha kuwa wana wasaidizi. utamsemeaje mtu kuwa hawezi kuwa na mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…