Kweli Ndoa yataka Moyo.....

Kweli Ndoa yataka Moyo.....

Huyo mumeo anatakiwa aheshimu ndoa. Aliahidi kukupenda wewe tu kwenye shida na raha. Mkumbushe kwa kuangalia picha za harusi yenu na video kila mnapokuwa pamoja. Hata usipomwambia kwa maneno, hayo matendo ya kumwonyesha harusi yatamuuma kama kwelia anasaliti
 
enheeee mi napenda mtu ashaurike afike hapa!
kwa taaluma yangu ya ualimu hapa unasihi ndo unaweza ukafanya kazi sasa hapa!AHSANTE SANA true_diva hujui tu vile umenipa tabasamu kwa hiki ulichoandika hapa!
ukitaka kuelewa naongea nini rudi toka page ya kwanza uone post zako na sasa uisome hii!kuna kitu nakiona!
na huyu ndiye mwanamke nataka kwenye shida ya aina hii!THIS SPIRIT babe girl!THIS SPIRIT.
Thanks snowwhite....
 
SUbiri tu uone..
Wewe si umeona mwenzio anavyolia hapa..
hata mimi x wangu ni rafiki yangu saaanaaaa........
mwanzo hakuamini kama sitaweza kumpa kitu baadae kakubali matokeo, maana nilimwambia kabisa siwezi kwenda beyond stories...... kama anataka zaidi ni bora tusiwasiliane kabisaaaa, kila mtu aishi kwa amani nyumbani kwake. akiangalia hawezi kunipoteza, maana namsaidia sana kwa maushauri na kila kitu..... in fact hata kwenye kuijenga ndoa yake ambayo ilikuwa inayumba mara kadhaa...... tumebaki kuwa marafiki na hakuna feelings zozote (to me)
 
Usivumilie kwa kukaa kimya, utakonda kwa mawazo wakati wenzio wanainjoi, pambana mdogowa wangu, kama umeongea na mumeo imeshindikana nenda kwa wasimamizi wa ndoa yenu watamwita na watawashauri vzr tu ikishindikana nenda kwa wazazi wake.

Mumeo nae, sijui kwanini anashindwa kujiheshimu, kama alimpenda huyo dada kwanini hakumuoa? amenikeraa

asante kwa ushauri najitahidi kuvumilia ila roho inaniuma sana
 
Pole sana mdada! yaani nimeumia roho sana kwa habari hii!!

Ukweli ni kwamba mumeo ameacha mpenyo na ndo maana huyo kirukanjia anawaingilia! mumeo alitakiwa kufunga makoloni yake yote ya zamani!! tatizo hakung'atuka na huyo ndo kamganda na kwa jinsi inavyoonekana anapania kukupindua na kwa sababu mumeo hana msimamo na ndoa yake, anataka! hataki!!

Haiwezekani hata siku moja, eti mpenzi wake wa zamani halafu anasema eti ni rafiki tu! ulikosea step toka mwanzo! ulipashwa ukomeshe hiyo toka mwanzo! hakuna kitu cha namna hiyo!!!

Sasa kikubwa mi ninachokushauri ni Maombi!! ongea na Mungu maana ndoa ni mpango wa Mungu na mume ni wako! na pia kwa kuwa unampenda kwa dhati! mlilie Mungu amrudishe mume wako kwani hawa wezi wa ndoa siku hizi huwa hawa shindwi kutumia nguvu za giza ndo maana unaona hata mumeo hawezifanya maamuzi!

Pili kaa na mumeo mwambie kwa jinsi unavyompenda na jinsi unavyoumia na mambo hayo na kwamba hauko tayari na maumivu na risk ya magonjwa!! mwambie achague kuendelea na mahusiano au ndoa!aache kabisa kuwasiliana naye na pia ikiwezekana abadilishe namba na asimtaarifu na kama hatafanya hataacha mawasiliano basi kanogewa huyo! Hata kama unampenda sana lazima umwonyeshe msimamo wako kindoa sio tu kupenda basi hata apande kichwani akunyee!

Pia unaweza wahusisha watu unaodhani wana hekima na busara na anaoweza kuwa sikiliza ili mkae wampe tembe.

Kingine usipoteze muda kumfuatilia huyo shetwaani ndo atazidisha manjonjo! achana naye rubbish!!!!


Asante Mpendwa,unajua maneno ya busara na hekima kama haya kutoka kwenu yananitia nguvu na kunifnaya njisikie amani na kupata tumaini jipya la kubabiliana na hii changamoto na hata changamoto nyingine kama hizi...usijali mpendwa nakuahidi kuipigania ndoa yangu kwa maana naamini haikua bahati mbaya bali ni mpango wa Mungu
 
mummy, the best way ya kumtreat mume wa hivyo, endelea kumpenda, kumheshimu na kumuombea. usientertain any communication na huyo mke wa nje, atakuumiza tu, maana anafurahi kuona wewe unaumia. je yeye hajaolewa?
 
"An eye for an eye will make the whole world go blind." - M. Ghandi



Ukishaamua kuoa/kuolewa lazima uwe tayari kuachana na yote hayo! Ukiona huwezi basi hujafikia wakati wako..tatizo tunaoa/kuolewa kwa kuangalia umri.

vishawishi vingi plus kufosiwa kufunga ndoa ndo usiseme
usikute huyo mwanamke alilazimisha ndoa na si mapenzi ya mwanaume mwenyewe
 
Pole sana mdada! yaani nimeumia roho sana kwa habari hii!!

Ukweli ni kwamba mumeo ameacha mpenyo na ndo maana huyo kirukanjia anawaingilia! mumeo alitakiwa kufunga makoloni yake yote ya zamani!! tatizo hakung'atuka na huyo ndo kamganda na kwa jinsi inavyoonekana anapania kukupindua na kwa sababu mumeo hana msimamo na ndoa yake, anataka! hataki!!

Haiwezekani hata siku moja, eti mpenzi wake wa zamani halafu anasema eti ni rafiki tu! ulikosea step toka mwanzo! ulipashwa ukomeshe hiyo toka mwanzo! hakuna kitu cha namna hiyo!!!

Sasa kikubwa mi ninachokushauri ni Maombi!! ongea na Mungu maana ndoa ni mpango wa Mungu na mume ni wako! na pia kwa kuwa unampenda kwa dhati! mlilie Mungu amrudishe mume wako kwani hawa wezi wa ndoa siku hizi huwa hawa shindwi kutumia nguvu za giza ndo maana unaona hata mumeo hawezifanya maamuzi!

Pili kaa na mumeo mwambie kwa jinsi unavyompenda na jinsi unavyoumia na mambo hayo na kwamba hauko tayari na maumivu na risk ya magonjwa!! mwambie achague kuendelea na mahusiano au ndoa!aache kabisa kuwasiliana naye na pia ikiwezekana abadilishe namba na asimtaarifu na kama hatafanya hataacha mawasiliano basi kanogewa huyo! Hata kama unampenda sana lazima umwonyeshe msimamo wako kindoa sio tu kupenda basi hata apande kichwani akunyee!

Pia unaweza wahusisha watu unaodhani wana hekima na busara na anaoweza kuwa sikiliza ili mkae wampe tembe.

Kingine usipoteze muda kumfuatilia huyo shetwaani ndo atazidisha manjonjo! achana naye rubbish!!!!


Asante Mpendwa,unajua maneno ya busara na hekima kama haya kutoka kwenu yananitia nguvu na kunifnaya njisikie amani na kupata tumaini jipya la kubabiliana na hii changamoto na hata changamoto nyingine kama hizi...usijali mpendwa nakuahidi kuipigania ndoa yangu kwa maana naamini haikua bahati mbaya bali ni mpango wa Mungu
Asante Mpendwa,unajua maneno ya busara na hekima kama haya kutoka kwenu yananitia nguvu na kunifnaya njisikie amani na kupata tumaini jipya la kubabiliana na hii changamoto na hata changamoto nyingine kama hizi...usijali mpendwa nakuahidi kuipigania ndoa yangu kwa maana naamini haikua bahati mbaya bali ni mpango wa Mungu
 
.....Kamanda TIMING big up sana kwa kuliona hili. Huyo ex- g'friend mpaka ana tweet mambo ya chumbani inajionyesha yupo desparate 'kuichokonoa' ndoa ya huyu mdada.

......mwanaume 'ustaarabu' wake kwenye case hii unaweza kumponza. Anayumbishwa na mkewe hapa!

......dada mwenye thread hii, hebu nawe uwe na busara.Unapomshinikiza mumeo amkanye ex wake, hujui unamsukumia upande ule pia?

Unachokozwa nawe unachokozeka? badala ya kuimarisha nyumba yako weye unaibomoa. Mumeo kakuchagua wewe na anataka utulivu bana.... Msaidie mumeo kwa kumuonyesha hajakosea kukuoa na hubabaishwi na huyo 'reject!'
Mkuu nakukubali kwa ushauri wako na naamini uko sahihi,nakiri kuwa nitaplay my part as a married wife na daima kuwa upande wa mume wangu but i wont allow tena huyo EX aitese ndoa yangu,naamini ntachukua hatua yakinifu katika kulitatua hili tatizo....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
FP mambo!
Huyo wa kwako inawezekana ni muelewa, kwa bidada hapa kinachokera kwanini mwanaume anaruhusu huyo mwanamke wake amtukane mkewe, hata kama bado wanamahusiano na huyo ex wake basi wafanye kwa siri ili asimuumize mdada wa watu

hata mimi x wangu ni rafiki yangu saaanaaaa........
mwanzo hakuamini kama sitaweza kumpa kitu baadae kakubali matokeo, maana nilimwambia kabisa siwezi kwenda beyond stories...... kama anataka zaidi ni bora tusiwasiliane kabisaaaa, kila mtu aishi kwa amani nyumbani kwake. akiangalia hawezi kunipoteza, maana namsaidia sana kwa maushauri na kila kitu..... in fact hata kwenye kuijenga ndoa yake ambayo ilikuwa inayumba mara kadhaa...... tumebaki kuwa marafiki na hakuna feelings zozote (to me)
 
mummy, the best way ya kumtreat mume wa hivyo, endelea kumpenda, kumheshimu na kumuombea. usientertain any communication na huyo mke wa nje, atakuumiza tu, maana anafurahi kuona wewe unaumia. je yeye hajaolewa?
ukweli ni kwamba yeye bado hajaolewa ila naskia anabwana...
 
Bi dada pole jamani,mmeo anaweza kuwa anafanya hivyo,
1.Ni mkakati waliousuka ili ukereke na uamue kukimbia halafu wao waoane.anataka wewe ndio uanze ili kujivua lawama kwa ndugu wa pande zote mbili.
2.inawezekana ikawa kweli manjonjo anayopata upande wa pili yakawa zaidi yako ila mmeo ni limbukeni hakupaswa kukufanya wewe ujue.usione ndoa zimesimama ukafikiri uko mwenyewe wee!nyumba ndogo ni nyingi kupita maelezo ila kinachofanyika ni kutomkera mke wa ndani hadi ajue kuwa kuna mwengine nje.
3.MLILIE MUNGU,MAOMBI NI SILAHA YAKO YA MWISHO washirikishe wadada, wamama mwekeni mwaume huyo mbele za Mungu usisahau maombi ya kufunga yana nguvu zaidi.
 
mumeo kuna kitu anakikosa kutoka kwako kaa chini uongee nae vizuri
 
Mshauri mume wako akate mawasiliano kabisa na huyo cd maana ni mwaribifu na huyo mumeo anamatatizo sana kama itashindikana wahushe wazazi wake huyo jamaa!
 
hata mimi x wangu ni rafiki yangu saaanaaaa........
mwanzo hakuamini kama sitaweza kumpa kitu baadae kakubali matokeo, maana nilimwambia kabisa siwezi kwenda beyond stories...... kama anataka zaidi ni bora tusiwasiliane kabisaaaa, kila mtu aishi kwa amani nyumbani kwake. akiangalia hawezi kunipoteza, maana namsaidia sana kwa maushauri na kila kitu..... in fact hata kwenye kuijenga ndoa yake ambayo ilikuwa inayumba mara kadhaa...... tumebaki kuwa marafiki na hakuna feelings zozote (to me)
Hongera sana kwa kuwa imara na kudhibiti na kuweka mipaka ya mahusiano na mawasiliano na EX wako ambayo hayana athari zozote katika uhusiano wako...pia hongera kwa kuwa na ex mstaarabu...hapa tatioz ni kwamba ex wa mume wa mimi naona ustaarabu kwake ni kitendawili
 
Huwa narefer story yako kila ninapokumbana na issue kama hizi; and l think, ilikutokea hiyo ili uweze kuwasaidia wengine wenye shida za namna hiyo.
Basi once again, nakuomba; nenda naye another stage further, akupe contacts zake uendelee kumjenga zaidi (simu etc). She seems to be somewhat naive and too nice (jinsi hata anavyojibu post "......nimekuelewa nitafanyiakazi...." sort of majibu) so she need a strong woman like you to mentor her.

I concur with you guys! Gfsonwin msaidie huy dada natumaini ukiwa naye kwa karibu atavuka mlima huu!! barikiwa gfsonwin
 
Pole sana dada,inaonekana huyo mumeo anshindwa kufanya uamuzi mgumu wa kumweleza huyo ex-wake juu ya kuheshimu ndoa yenu,pia huyo dada hana adabu,kwani kutembea na mume wa mtu ndo atoe siri,ina maana hata angekuwa na mume wake angekuwa anaanika yale yote wanayoyafanya kwenye mitandao?kwenye mitandao watu tunasaidiana tu kwa mawazo lkn huwezi anika siri za kitandani kwako kama wewe ni mtu una akili timamu.huyo mumeo angekuwa na akili nzuri leo leo angempiga chini kwani ipo siku atamdhalilisha kwa kumtoa picha za uchi ambazo atakuwa amempiga kwa kujua au kutokujua,kwani hapo anatembea na zuzu.
Wewe mpiganie mumeo kwa Mungu kwa maombi na kufunga hasa kipindi hiki cha kwaresma naye atakujibu.
 
FP mambo!
Huyo wa kwako inawezekana ni muelewa, kwa bidada hapa kinachokera kwanini mwanaume anaruhusu huyo mwanamke wake amtukane mkewe, hata kama bado wanamahusiano na huyo ex wake basi wafanye kwa siri ili asimuumize mdada wa watu
poa kabisa ram.....
mimi nilichoongelea ni kitendo cha kuwa na mawasiliano na x na si vinginevyo. na kama kitu napinga ni kuendelea na mahusiano na x, hiki sitakuja kukifanya na namwomba Mungu wangu azidi kunisaidia. hata pale ninapokuwa down, x haji kabisa katika akili yangu ingawa nipo naye karibu sana na najua angefurahi sana angepata hiyo nafasi.
hayo ya kutukana ni habari nyingine. kuna wadada wapo hivyo, sijui kwa nini wanafanya hivyo. kuna siku nilipokea simu usiku wa manane namba ni ya mkaka ninayemfahamu, niliogopa sana maana nilijua anaweza akawa na tatizo, siyo kawaida kupiga usiku ule. nilipopokea akaongea mdada na kuanza kunishushia matusi niachane na BF wake. kwa hasira nikakata simu nikalala. nikapanga asubuhi nimshushie moto wa haja huyo kaka. kabla sijaamka asubuhi nikapigiwa simu na rafiki yangu sana (mdada), mimi naye wote tulikuwa kwenye phonebook ya simu ya yule kaka, mdada kanipigia kunipa story ya yaliyonitokea usiku...... nikajua hapa kuna shida. nikasema sitampigia yule kaka, nilielewa yaliyompata. baadae akatutumia msg kutuomba msamaha. kumbe yule dada usiku aliiba simu ya BF wake, akapigia simu wadada woote waliokuwa kwenye ile simu kwa kutumia namba ya yule kaka..... hapo unaweza kupata picha huyo ni kichaa wa design gani....
 
  • Thanks
Reactions: ram
Hongera sana kwa kuwa imara na kudhibiti na kuweka mipaka ya mahusiano na mawasiliano na EX wako ambayo hayana athari zozote katika uhusiano wako...pia hongera kwa kuwa na ex mstaarabu...hapa tatioz ni kwamba ex wa mume wa mimi naona ustaarabu kwake ni kitendawili
soma post yangu # 119, huyo dada si mstaarabu kwa namna yoyote ile. na kama unataka amani acha kabisa kupoteza nguvu zako kwake, deal na mumeo, kama atakusikia poa. huyo dada ni kichaa kabisa wala usiumize kichwa chako kumuwazia
 
Back
Top Bottom