mbona mimi ex wangu ni rafiki yangu na hatufanyi chochote? ina maana mtu akishakuwa ex then ni adui yako?
Thanks snowwhite....enheeee mi napenda mtu ashaurike afike hapa!
kwa taaluma yangu ya ualimu hapa unasihi ndo unaweza ukafanya kazi sasa hapa!AHSANTE SANA true_diva hujui tu vile umenipa tabasamu kwa hiki ulichoandika hapa!
ukitaka kuelewa naongea nini rudi toka page ya kwanza uone post zako na sasa uisome hii!kuna kitu nakiona!
na huyu ndiye mwanamke nataka kwenye shida ya aina hii!THIS SPIRIT babe girl!THIS SPIRIT.
hata mimi x wangu ni rafiki yangu saaanaaaa........SUbiri tu uone..
Wewe si umeona mwenzio anavyolia hapa..
asante kwa ushauri najitahidi kuvumilia ila roho inaniuma sana
Pole sana mdada! yaani nimeumia roho sana kwa habari hii!!
Ukweli ni kwamba mumeo ameacha mpenyo na ndo maana huyo kirukanjia anawaingilia! mumeo alitakiwa kufunga makoloni yake yote ya zamani!! tatizo hakung'atuka na huyo ndo kamganda na kwa jinsi inavyoonekana anapania kukupindua na kwa sababu mumeo hana msimamo na ndoa yake, anataka! hataki!!
Haiwezekani hata siku moja, eti mpenzi wake wa zamani halafu anasema eti ni rafiki tu! ulikosea step toka mwanzo! ulipashwa ukomeshe hiyo toka mwanzo! hakuna kitu cha namna hiyo!!!
Sasa kikubwa mi ninachokushauri ni Maombi!! ongea na Mungu maana ndoa ni mpango wa Mungu na mume ni wako! na pia kwa kuwa unampenda kwa dhati! mlilie Mungu amrudishe mume wako kwani hawa wezi wa ndoa siku hizi huwa hawa shindwi kutumia nguvu za giza ndo maana unaona hata mumeo hawezifanya maamuzi!
Pili kaa na mumeo mwambie kwa jinsi unavyompenda na jinsi unavyoumia na mambo hayo na kwamba hauko tayari na maumivu na risk ya magonjwa!! mwambie achague kuendelea na mahusiano au ndoa!aache kabisa kuwasiliana naye na pia ikiwezekana abadilishe namba na asimtaarifu na kama hatafanya hataacha mawasiliano basi kanogewa huyo! Hata kama unampenda sana lazima umwonyeshe msimamo wako kindoa sio tu kupenda basi hata apande kichwani akunyee!
Pia unaweza wahusisha watu unaodhani wana hekima na busara na anaoweza kuwa sikiliza ili mkae wampe tembe.
Kingine usipoteze muda kumfuatilia huyo shetwaani ndo atazidisha manjonjo! achana naye rubbish!!!!
Asante Mpendwa,unajua maneno ya busara na hekima kama haya kutoka kwenu yananitia nguvu na kunifnaya njisikie amani na kupata tumaini jipya la kubabiliana na hii changamoto na hata changamoto nyingine kama hizi...usijali mpendwa nakuahidi kuipigania ndoa yangu kwa maana naamini haikua bahati mbaya bali ni mpango wa Mungu
"An eye for an eye will make the whole world go blind." - M. Ghandi
Ukishaamua kuoa/kuolewa lazima uwe tayari kuachana na yote hayo! Ukiona huwezi basi hujafikia wakati wako..tatizo tunaoa/kuolewa kwa kuangalia umri.
Asante Mpendwa,unajua maneno ya busara na hekima kama haya kutoka kwenu yananitia nguvu na kunifnaya njisikie amani na kupata tumaini jipya la kubabiliana na hii changamoto na hata changamoto nyingine kama hizi...usijali mpendwa nakuahidi kuipigania ndoa yangu kwa maana naamini haikua bahati mbaya bali ni mpango wa MunguPole sana mdada! yaani nimeumia roho sana kwa habari hii!!
Ukweli ni kwamba mumeo ameacha mpenyo na ndo maana huyo kirukanjia anawaingilia! mumeo alitakiwa kufunga makoloni yake yote ya zamani!! tatizo hakung'atuka na huyo ndo kamganda na kwa jinsi inavyoonekana anapania kukupindua na kwa sababu mumeo hana msimamo na ndoa yake, anataka! hataki!!
Haiwezekani hata siku moja, eti mpenzi wake wa zamani halafu anasema eti ni rafiki tu! ulikosea step toka mwanzo! ulipashwa ukomeshe hiyo toka mwanzo! hakuna kitu cha namna hiyo!!!
Sasa kikubwa mi ninachokushauri ni Maombi!! ongea na Mungu maana ndoa ni mpango wa Mungu na mume ni wako! na pia kwa kuwa unampenda kwa dhati! mlilie Mungu amrudishe mume wako kwani hawa wezi wa ndoa siku hizi huwa hawa shindwi kutumia nguvu za giza ndo maana unaona hata mumeo hawezifanya maamuzi!
Pili kaa na mumeo mwambie kwa jinsi unavyompenda na jinsi unavyoumia na mambo hayo na kwamba hauko tayari na maumivu na risk ya magonjwa!! mwambie achague kuendelea na mahusiano au ndoa!aache kabisa kuwasiliana naye na pia ikiwezekana abadilishe namba na asimtaarifu na kama hatafanya hataacha mawasiliano basi kanogewa huyo! Hata kama unampenda sana lazima umwonyeshe msimamo wako kindoa sio tu kupenda basi hata apande kichwani akunyee!
Pia unaweza wahusisha watu unaodhani wana hekima na busara na anaoweza kuwa sikiliza ili mkae wampe tembe.
Kingine usipoteze muda kumfuatilia huyo shetwaani ndo atazidisha manjonjo! achana naye rubbish!!!!
Asante Mpendwa,unajua maneno ya busara na hekima kama haya kutoka kwenu yananitia nguvu na kunifnaya njisikie amani na kupata tumaini jipya la kubabiliana na hii changamoto na hata changamoto nyingine kama hizi...usijali mpendwa nakuahidi kuipigania ndoa yangu kwa maana naamini haikua bahati mbaya bali ni mpango wa Mungu
Mkuu nakukubali kwa ushauri wako na naamini uko sahihi,nakiri kuwa nitaplay my part as a married wife na daima kuwa upande wa mume wangu but i wont allow tena huyo EX aitese ndoa yangu,naamini ntachukua hatua yakinifu katika kulitatua hili tatizo.........Kamanda TIMING big up sana kwa kuliona hili. Huyo ex- g'friend mpaka ana tweet mambo ya chumbani inajionyesha yupo desparate 'kuichokonoa' ndoa ya huyu mdada.
......mwanaume 'ustaarabu' wake kwenye case hii unaweza kumponza. Anayumbishwa na mkewe hapa!
......dada mwenye thread hii, hebu nawe uwe na busara.Unapomshinikiza mumeo amkanye ex wake, hujui unamsukumia upande ule pia?
Unachokozwa nawe unachokozeka? badala ya kuimarisha nyumba yako weye unaibomoa. Mumeo kakuchagua wewe na anataka utulivu bana.... Msaidie mumeo kwa kumuonyesha hajakosea kukuoa na hubabaishwi na huyo 'reject!'
hata mimi x wangu ni rafiki yangu saaanaaaa........
mwanzo hakuamini kama sitaweza kumpa kitu baadae kakubali matokeo, maana nilimwambia kabisa siwezi kwenda beyond stories...... kama anataka zaidi ni bora tusiwasiliane kabisaaaa, kila mtu aishi kwa amani nyumbani kwake. akiangalia hawezi kunipoteza, maana namsaidia sana kwa maushauri na kila kitu..... in fact hata kwenye kuijenga ndoa yake ambayo ilikuwa inayumba mara kadhaa...... tumebaki kuwa marafiki na hakuna feelings zozote (to me)
ukweli ni kwamba yeye bado hajaolewa ila naskia anabwana...mummy, the best way ya kumtreat mume wa hivyo, endelea kumpenda, kumheshimu na kumuombea. usientertain any communication na huyo mke wa nje, atakuumiza tu, maana anafurahi kuona wewe unaumia. je yeye hajaolewa?
Hongera sana kwa kuwa imara na kudhibiti na kuweka mipaka ya mahusiano na mawasiliano na EX wako ambayo hayana athari zozote katika uhusiano wako...pia hongera kwa kuwa na ex mstaarabu...hapa tatioz ni kwamba ex wa mume wa mimi naona ustaarabu kwake ni kitendawilihata mimi x wangu ni rafiki yangu saaanaaaa........
mwanzo hakuamini kama sitaweza kumpa kitu baadae kakubali matokeo, maana nilimwambia kabisa siwezi kwenda beyond stories...... kama anataka zaidi ni bora tusiwasiliane kabisaaaa, kila mtu aishi kwa amani nyumbani kwake. akiangalia hawezi kunipoteza, maana namsaidia sana kwa maushauri na kila kitu..... in fact hata kwenye kuijenga ndoa yake ambayo ilikuwa inayumba mara kadhaa...... tumebaki kuwa marafiki na hakuna feelings zozote (to me)
Huwa narefer story yako kila ninapokumbana na issue kama hizi; and l think, ilikutokea hiyo ili uweze kuwasaidia wengine wenye shida za namna hiyo.
Basi once again, nakuomba; nenda naye another stage further, akupe contacts zake uendelee kumjenga zaidi (simu etc). She seems to be somewhat naive and too nice (jinsi hata anavyojibu post "......nimekuelewa nitafanyiakazi...." sort of majibu) so she need a strong woman like you to mentor her.
poa kabisa ram.....FP mambo!
Huyo wa kwako inawezekana ni muelewa, kwa bidada hapa kinachokera kwanini mwanaume anaruhusu huyo mwanamke wake amtukane mkewe, hata kama bado wanamahusiano na huyo ex wake basi wafanye kwa siri ili asimuumize mdada wa watu
soma post yangu # 119, huyo dada si mstaarabu kwa namna yoyote ile. na kama unataka amani acha kabisa kupoteza nguvu zako kwake, deal na mumeo, kama atakusikia poa. huyo dada ni kichaa kabisa wala usiumize kichwa chako kumuwaziaHongera sana kwa kuwa imara na kudhibiti na kuweka mipaka ya mahusiano na mawasiliano na EX wako ambayo hayana athari zozote katika uhusiano wako...pia hongera kwa kuwa na ex mstaarabu...hapa tatioz ni kwamba ex wa mume wa mimi naona ustaarabu kwake ni kitendawili