Kweli ngono ya mapema hupoteza

Kweli ngono ya mapema hupoteza

Quavohucho

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2020
Posts
798
Reaction score
2,028
Saizi nimeamini kwamba ngono na vitendo vyovyote vinavyohusiana na ngono

Asa ikiwa mapema humpoteza Mtu kimalengo ya baadaye, masomo, stara, hofu ya Mungu etc

Hii kutokana ushuhuda wangu kabsa, nakumbuka navyoanza barehee darasa la sita / la saba, nilikuwa sio muongeaji kabisa, lakini mademu nawatamani sana.

Nikaanza tambia mbaya sana yaani kila nikipangwa dawati na wadada. Nilikuwa nawashika sana mapaja na vititi darasana. Yaana nilikuwa nawachezea sana, class afu nikitoka hapo kimya kila mtu kivyake anaenda yaan na ilikuwa in siri yetu.

Kuna mda nilikuwa nikienda kukaa labda dawati jingine demu wa mwanzo anaonyesha wivu kabsa, chakusikitisha mademu wote niliowafanyia mchezo huo walipotea. Yaani mimi nikama nilikuwa nawa stimulate waanze ngono, japo mimi nilikuwa muoga ku sex

1. Alishindwa kuendelea na secondary baada ya kupewa mimba mapema.
2. Alipata mimba form 1
3. Alitoroka form 2 ila now yupu UDOM anagawa hatari.
4. Alipewa mimba form 3
5. Yaani wote walipoteana. Ila wadada wabaya, makauzu waliokosa stimulation ya ngono wengi walidumu.

Wadada wanapata sana maana wao wanatongozwa sana, ambaye anakua ashaanza mambo ya ngono anakuwa mwepesi kuliko wengine.

Nime share hii baada ya kukutana na demu niliekuwa nampapasa sana kuliko wote darasani kawa mdangajia maharufu Dar na Ista.

Screenshot_20210515-082109~2.png

 
Hiyo picha nimeiwaza kama mzazi....mmh!!!
Hayo mamb no automatic tu

ila Huy wa kike akifika umri flan akitongozw hawez kukataa wala kuriport ppte maana hof ya maswala ya ngono ishaanza mtoka mapema, na kuanza kutaman ngono
 
Dogo anatest mafuta Kama yapo
Au n upepo umejazwa
 
Huyu ndo jiwe sasa shujaa wa Africa wa ukweli siyo yule mwingine
 
Kama ndo hivyo Basi saidia hao watoto hasa ako kakike maana kanadalili zote za kutoendelea mbele
 
Back
Top Bottom