Kweli nimekutana na tapeli wa mapenzi




Huo ndo ,pango mzima/tafuta demu yeyote aongee naye tena kwamsisitizo huyu ni mchumba angu nataka funga nae ndoa simu zisizo za msingi sizihitaji kwa mume wangu mtarajiwa (full stop).
 
Yes Man you have lost stand up and move, hapo hakuna mapenzi jamaa akikamua akachoka na kutema atakurudia kwa ulaghai wake, ukikubali tuu imekula kwako!!!!!!!!!!!!
 
Demu unayekutana naye gesti asitahiri kuwa mke wako.Huyo muweke kama akiba wa kuokoa jahazi wakati mambo si mambo.Gest .? tena uchochoroni.?Na we demu unayeperekwa gest.?


HILO SIYO TATIZO NI KUBADILISHA MANZINGIRA TU..........................................................................................................:sleepy:
 
Hapo mkuu Faiza tupo pamoja, mtu kakuvulia nguo bado hamjaoana kweli hapo una mke?????????? Bado utadai eti ni mchumba, je amevulia nguo watu wangapi!!!!!!!!!! Labda iwe bahati tuu, pole sana chomoka mapema!!!!!
 
Yes Man you have lost stand up and move, hapo hakuna mapenzi jamaa akikamua akachoka na kutema atakurudia kwa ulaghai wake, ukikubali tuu imekula kwako!!!!!!!!!!!!

Du,kaka ushauri wako ni super sana,ntafanya hvyo.
 
Inaonekana umezoea kuumizwa. Kama hutak kujitoa endelea ku dhalilika.
 
mapenzi bongo style,nawewe ukikutana nae huyo demu mtafune line zote tigo na voda kisha mumpigie cm jamaa amkane nayeye ajiskie
 
Huyo binti anaonekana ana tamaa sana...hafai katika jamii..hawa ndio wanasababisha vijana kuchomana visu au kufanyia mengine mambo ya kuhatarishiana maisha..alikuwa na wewe kwa maslahi binafsi na sio kwa mahusiano thabiti..ni wa kuogopwa...huna sababu ya kumjulisha mtu wake...wewe deal nae mwenyewe mwambie kama alivyokwisha kukukana na iwe hivyo...hata wewe mkane..na baada ya kusema hayo basi....na wewe unatakiwa uwe na msimamo mkali..usibabaike nafsini mwako ukajikuta unabadilika badilika...siku huyo kidemu wake akikukuta nae utajuta maana demu atakukana tena mara ya pili na itabaki kuwa wewe ndo unaingilia mahusiano yao maana ulishakanywa na hukusikia...hatakuelewa kuwa yeye ndo anakusumbua na kujipendeza kwako kwa shida zake. jiweke pemben mapema kaka kuepesha shari na kwa usalama wa maisha yako uishi kwa amani...hata kama ni mzuri kwa sura maana tabia tayari ni tatizo..sio mwaminifu..wapo wengi wenye tabia njema na wazuri haswa na wenye msimamo. Kimbia kabisa hilo ni balaa linabisha hodi.....shtuka na chukua tahadhari mapema kabla ya hatari
 
mwite afuate hiyo pesa then mkumbushe zile za zamani,piga kazi kijana we vipi unalemaa kile kidude ukikisimamia kina rudisha heshima na akili pia inarudi atanyooka tu.mwache aje afuate mkuu wa kaya.
 
Duh! Kweli kuna watu ni tegemezi wa fikra.
 

Akili za mwenzako,,,,changanya na za kwako!
 
mapenzi bongo style,nawewe ukikutana nae huyo demu mtafune line zote tigo na voda kisha mumpigie cm jamaa amkane nayeye ajiskie

Nilijaribu kutaka kutafuna tgo lakin ngoma haikupita.
 

Brother,as God is there stay ever blessed.You've given me just a nice piece of advice.Thank a trillion!
 
Duniani... ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. sina la kukushauri mkubwa nimechoka hadi meno.
 
Kuna mdau alishasema hapa jamvini, "MWANAMKE/MWANAUME ANAYE KUBALI KUKUTANA KIMWILI KABLA YA NDOA NI MATATIZO MATUPU"
Hilo ndio tatizo sugu kwenye reletion nyingi. Ndio mana matatizo hayaishi kila uchao. Dhambi ya ZINAA inawaandama kila muendako. Tubadilike bandugu.
 
yap haya matukio yapo sana wasichana akili fupi sana na wepesi kusahau hili ni la kuomba msamaha.... kuna 1 nilikuwa naye kwa miaka 4 kila kitu nilifanya kwake kwao walishafahmu kuhusu hilo ila alinigeuka huwezi amini cm akawa hapokei nilibembeleza sana walau kujua kosa lakini wapi hadi siku nakuja kupigiwa cm na jamaa yake mpyaa niliona dunia chungu kuanzia pale niliwaambia wazazi wake then yy nikaachana naye baada ya muda nikaenda kuongeza elimu zaidi akaanza kuomba msamaha sasa nina kazi yangu ya maana mchumba bombaaa bado ile dhambi inamsuta...... achana naye usipige simu akipiga pokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…