Kweli nimekutana na tapeli wa mapenzi

...bona maamuzi yako wazi?huna haja ya kuomba ushauri huku!be gentman
 
Fanya yafuatayo;
  1. Mpeleke mahali ambapo una uhakika kuwa utakuwa salama kwa utakachomfanyia, kwa kuwa hatakuwa na uwezo wa kutoa ushahidi...!
  2. Mng'oe meno yoooote....!
  3. Mpigishe vuvuzela....!
  4. Mtafutie wa kumtangia kotekote....!
  5. Sepa na umuache kavukavu...!
Utaona mabadiliko makubwa sana...!
 
kaka samahani lakini acha uboya changudoa haolewi anapigwa dudu na kuachwa audumie watu wengine pole kwa kwenda kujichoresha kwao.
 
Temana naye chalii angu, acha ufala arifu,shituka mnama au machale hajakundesa jombaaa? Oi!
 

mkuu huu ushauri wako huu? Duh! Mi naona ni wa kihalifu zaid ambao utamwongezea kijana matatizo.
 
Kubwaga kuna staili nyingi, moja wapo ni hiyo ya kwako. Yaani hapo unapigwa "nitoke vipi" ili utoe hela. Lakini mapenzi umeshaambiwa kwa herufi kubwa hakuna. Tangu alipomsevu jamaaa yake ndo alipokubwaga ila alikuwa anatafuta jinsi. Pia Msipende kuchukia kuachwa. Mapenzi ni hisia sio democrasia. Kama mtu hakutaki tena na bahati nzuri kakwambia aanza mbeele na usikasilike japo utaumia. With time utapata mwingine wapo wengi. Acha hadith za ooh tulitoka mbali kwani ulizaliwa naye si umejuana naye wakati umeishaish itu humu duniani. Mapenzi tumia hisia na akili. Ukiambiwa unapendwa, ooh honey ooh my everything usi sahau falsafa ya Mbayuwayu(akili ya kuambiwa..). Wanao puuza falsafa hii katika mapenzi wanaishia pabaya ( kufungwa, kuua, kuwa chizi au kujiua). Life is so good to spoil it because of a woman. IF WOMEN WERE THAT GOOD GOD COULD HAVE ONE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…