Kweli nimetendwa mie

Pole sana dada yangu. Mimi najua maumivu ya kutendwa. Inna anachukulia poa ila siju yakimgeuka ndio atanielewa.
 
Hayo maimplants yana mwisho wake. Yatachakaa yatachina yatachuja

Ridhika na alichokupa MUNGU! Hakitakuletea maradhi.

Asojua uzuri wako huyo siye wako. Utampata wako ambaye hatasifia wa nje. Atakuona wewe tu.

Wa macho-mia mia haramu.

ohoooo!
braza mie ndio wake
sema hapo nlisifi kwa utani tuu, yaan namuona Gea tuu everywhere
 
hahahaha
haki ya Mungu najilaum kukosa tu hilo event
lakin si mbaya kama yaliisha
 
Hewaala nipe tu zawadi yangu.

Cc Bonny kwa taarifa
Kumbe hzi profile mzee ni deal enhee maana naona tayar kuna mtu kakuelewa sasa hili toto tundu langu sjui hata kama litakujwa kupendwa
Ila sio mbaya mzee Dodo chin ya Mnyanya naona hyo
 
Kumbe hzi profile mzee ni deal enhee maana naona tayar kuna mtu kakuelewa sasa hili toto tundu langu sjui hata kama litakujwa kupendwa
Ila sio mbaya mzee Dodo chin ya Mnyanya naona hyo
Jirani nimekumiss, vipi haujarudi tu nimuagize yule kijana?
 
Jirani nimekumiss, vipi haujarudi tu nimuagize yule kijana?
Ha ha ha Jiran naona unatokea weekend kwa weekend tu siku hzi
Miss u more hasa wallet yangu imekumis zaid fanya uje ila ustume watoto...
 
Ha ha ha Jiran naona unatokea weekend kwa weekend tu siku hzi
Miss u more hasa wallet yangu imekumis zaid fanya uje ila ustume watoto...
Jirani week days natumika hadi najihurumia!!!
Namtuma dogo fasta alafu nitakuja jioni jirani, maana sio kwa mmiso huu!!!
 
Jirani week days natumika hadi najihurumia!!!
Namtuma dogo fasta alafu nitakuja jioni jirani, maana sio kwa mmiso huu!!!
Naamin unatumika kwa faida jiran sio kwa hasara...
Umeona enhee umemisiwa sana halafu unajua ukituma watoto Jiran ni child Labour wasije wakatushtak bure bora uje mwenyewe au utume kibinti cha miaka 18 na kuendlea
 
Naamin unatumika kwa faida jiran sio kwa hasara...
Umeona enhee umemisiwa sana halafu unajua ukituma watoto Jiran ni child Labour wasije wakatushtak bure bora uje mwenyewe au utume kibinti cha miaka 18 na kuendlea
Hivi jirani mbona haukosagi majibu!!! Ulizaliwa siku gani lkn!!! Hebu acha fujo, mtoto yuko njiani anakuja.
 
Tupo hapa kujua hatma yako

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
Hivi jirani mbona haukosagi majibu!!! Ulizaliwa siku gani lkn!!! Hebu acha fujo, mtoto yuko njiani anakuja.
Haya mwambie atankuta nje ya get afanye upesi kidogo kuna sehemu nawah au kama vp ntapitia kwako jiran Kila kitu ntakuja nacho
 
Haya mwambie atankuta nje ya get afanye upesi kidogo kuna sehemu nawah au kama vp ntapitia kwako jiran Kila kitu ntakuja nacho
Jirani mimi nikiwa na shida na wewe ndio unapata safari!! Hii safari ya leo ahirisha niko njiani nakuja mwenyewe.
 
Kumbe hzi profile mzee ni deal enhee maana naona tayar kuna mtu kakuelewa sasa hili toto tundu langu sjui hata kama litakujwa kupendwa
Ila sio mbaya mzee Dodo chin ya Mnyanya naona hyo
Mzee hizi zinategemeana na siku... jana naona ilikuwa siku nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…