luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Mk 254 huyo mchina alikuwa ni balozi wa china nchini Tz alipanda jukwani ktk kampeni then vyama vya upinzan vililaumu sana serikali ya uchina jamaa hakuchukua muda akabadilishwa balozi akaja mwingine ...Wachina kule Tanzania wameteka hadi hata wapo kwenye CCM, hebu ona wanavaa hata kofia za chama
View attachment 1081862
Ndio maana bado mko LDC Hadi wa Leo... Poleni sanaPwahahaha!!! Siwezi kujadili na punguwani kama wewe ambaye hatumii hata common sense.
Tanzania inajiendesha yenyewe tangu ipate uhuru.
Hatujawahi kumpigia magoti yeyote. We do businesses with anybody kwa manufaa ya nchi yetu.
Nyie endeleeni kupigania Kenyatta business and his empire.
Uyo jamaa alikuw anaitwa kaka.alikuw na Costa moja ya abilia tukuyu-mby mjin.alirudi kwao ila gari na baadhi ya mali alimuachia mkewe na mtoto wa kinyaki if not mistakenUko sahihi.
Nakumbuka wakati nikiwa kijana mdogo kwenye miaka ya '80 niliwahi tembelea sehemu moja inaitwa Kiwira huko Mbeya. Niliona waChina wengi wakifanya KAZI ya mgodi huko. Miaka mingi baadaye nikaonana na jamaa mmoja ni mchanganyiko wa China na Swahili yuko Mbeya mjini anafanya shughuli zake. Pia anaoneka ni mwenyeji mpaka anaongea kinyachusa. Nikauliza huyu ni nani? Wakanijibu huyu jamaa kwao ni kiwira, ni uzao wa waChina waliokuja kufanya kazi za mgodini.
Hivyo hilo unalosema ni sahihi. Tanzania na China wana uhusiano wa muda mrefu.
Sababu ya wachina kuwepo Tanzania ni kutokana na historia ya hizo nchi mbili tangu Uhuru wa Tanzania, Kumbuka JWTZ linanunua 90% ya vifaa toka China, kwa hiyo kuna wachina wengi sana wapo ktk kambi za JWTZ wakitoa mafunzo, TAZARA kuna wataalamu wengi wa kichina, na kiwanda kikubwa cha nguo cha URAFIKI kilichojengwa miaka ya 70s na wachina kuna wachina wengi sana. Kenya wachina wameanza kuja just 15 year ago.Kama deni la Ug ni kubwa unafaa UG ndo ingekua na wafanyikazi wengi zaidi manake hao wachina hua wanapenda Sana kupigania projects ambazo nchi Yao imetoa mikopo
Hakuna cha kufaa, you have provided the statistics yourself, tunawazidi kuajiri wachina wao wametuzidi mkopo, wao kupaswa kuwa wengi kule, kale ni kanchi kadogo sana, watakuwa wengi huku sababu the land is soo huge and remember, wao wameanza kuja Tz since 1960,s. Wameanza kuja Ug na Kenya in 2000,sKama deni la Ug ni kubwa unafaa UG ndo ingekua na wafanyikazi wengi zaidi manake hao wachina hua wanapenda Sana kupigania projects ambazo nchi Yao imetoa mikopo
Sababu ya wachina kuwepo Tanzania ni kutokana na historia ya hizo nchi mbili tangu Uhuru wa Tanzania, Kumbuka JWTZ linanunua 90% ya vifaa toka China, kwa hiyo kuna wachina wengi sana wapo ktk kambi za JWTZ wakitoa mafunzo, TAZARA kuna wataalamu wengi wa kichina, na kiwanda kikubwa cha nguo cha URAFIKI kilichojengwa miaka ya 70s na wachina kuna wachina wengi sana. Kenya wachina wameanza kuja just 15 year ago.
Niko na uhakika China ikitoa data kamili ya hao wachina utapata wengi wao walikuja Tz kuanzia 2000s na si cha urafiki wa jadi walala nini....Hakuna cha kufaa, you have provided the statistics yourself, tunawazidi kuajiri wachina wao wametuzidi mkopo, wao kupaswa kuwa wengi kule, kale ni kanchi kadogo sana, watakuwa wengi huku sababu the land is soo huge and remember, wao wameanza kuja Tz since 1960,s. Wameanza kuja Ug na Kenya in 2000,s
Urafiki (kiwanda cha nguo), Kiwira (Mgodi wa makaa ya mawe), Tazara, jeshini n.k.Kuna technology transfer kati ya tz na mchina?