Kweli pesa hazitoshi. The more you get the more desire

Kidawa_hiphop

Senior Member
Joined
Jul 7, 2018
Posts
184
Reaction score
274
Wakuu nimekubali baadhi yetu hatuwezi kuridhika 100% kwa tunachokipata.

Kuna kipindi nilitamani sana kama ningekuwa japokuwa na ka-take home ka 800k na baada ya kufanikiwa kupata nikaona hapa bado sana.Sasa hivi nina 1.6m kama take home na bado naona nahitaji kupata zaidi.Yaani najiona choka mbaya tu

Sasa leo nimejiuliza hivi kwa nini nisiishi tu kama vile napata 500k kwa mwezi badala ya kupandisha standards ili nipate mafanikio haraka?..nadhani nianze kufanya hivi.

Uzi tayari.
 
Ukiweza hiyo mbinu/adhma yako, urudi uje utupe na sisi maujanja..
 
Watu mna helaa [emoji23][emoji23][emoji23],,mm hapa Kwa akiba yangu Nina 5,800 yaan Zaid ya hii cna ppt miaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..

Na maishร  n fresh tu..
 
Hizi tunatengeneza. Hakuna jipya asee usitumie nguvu nyingi kutuaminisha ww ni mjinga vun
Sijataka kukuaminisha,kwani mimi najuana na wewe physically??.nimejifungulia tu uzi humu jf where we dare to speak openly.Ila ulivyokuwa na tabia za roho mbaya unasema sina hata 250k,mijitu mingine bana.
 
Sijataka kukuaminisha,kwani mimi najuana na wewe physically??.nimejifungulia tu uzi humu jf where we dare to speak openly.Ila ulivyokuwa na tabia za roho mbaya unasema sina hata 250k,mijitu mingine bana.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Usicho kijua ni kutochukulia jf serious nimeandika kama utani tu japo kimikazo ila kwakua imepenya naona umeleta hadi uthibitisho. Ungekua kwamba hatujuani ungeishia kusema sawa sionlazima hizo picha za hela yako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ huenda kweli hata hiyo 250 huna
 
ungekuwa mfanyabiashara ingewezekana maana bilionea ili aweze kumaintain ubilionea wake inabidi aishi ki milionea.
 
Mhubiri 5:10

Biblia Habari Njema (BHN)
Apendaye fedha hatatosheka na fedha; wala apendaye mali hata akiipata hatatosheka. Hilo nalo ni ubatili kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ