Kweli Simba babalao

Kweli Simba babalao

Kasongo na karia watajua ukubwa wa simba tukiamua kususia ligi tutawaambia na washabiki wa simba wasusie mechi za ligi na pia wasilipie ving'amuzi tuone kama wadhamini watabaki
 
Wazee wa nafasi ya 6 Afrika Ila mechi ya kesho wa mejaa mchecheto.
 
Unajua kwanini, Pitia threads karibia zote humu jukwaani, pitia michango ya mtu mmoja mmoja utagundua klabu inayozungumzwa kwa kwa zaidi ya 90% Ni Simba.

Inazungumzwa kwa mazuri, ubaya,lawama, matusi ni simba. Hii inamaanisha ndiyo klabu inayofuatiliwa na umma wote wa watanzania.

Watani zangu Kabwilicious sports club aka Utopolo/mazuzu FC hawana habari na timu yao. Mijadala yao ni kuhusu maendeleo ya Simba.

Pitia hata kule kwa jukwaa la watoto fb utashangaa wao hawana grupu za timu zao? Wamejaa kwenye magrupu ya Simba fans.

Njoo kwa msemaji wao yule zuzu namba Moya, pitia post zake zote ktk mitandao anaizungumzia Simba. Hana Cha kuzungumza kuhusu Utopolo yake. Kutwa ni Simba.

Akija Bumbuli na hersi kwenye press ni kuizungumza Simba, wao Wana mafumbo zaidi, hawaongei wazi.

Yaani kwa habari ya klabu za soka Tz Basi timu ya kuongelea ni Simba.Simba kwa Sasa Ni km OKSIJENI usipovuta lazima ufe.ni km maji usipooga utayanywa.huwezi kukwepa hivyo vitu viwili usivitumie halafu ukaishi.Simba!

Watani zangu Yanga jaribuni kuipaisha timu yenu, labda mtashindwa kwa sababu hamna la maana kuhusu timu yenu.

Ongeleeni hata kitambi cha mwakalebela.

ONE TEAM ONE DREAM!
Wewe mwenyewe huongelei timu yako unaongelea wengine, ungekikita na timu yako ninge kuelewa
 
Kasongo na karia watajua ukubwa wa simba tukiamua kususia ligi tutawaambia na washabiki wa simba wasusie mechi za ligi na pia wasilipie ving'amuzi tuone kama wadhamini watabaki
Akili za kimaskini kama zako hazifai.

Utamshawishi nani asilipie kisimbuzi chake kisa ugoro wa likichwa lako?
 
Danga hilo mkuu wangu lipotezee tu. GSM ameshamanuliwa na mabango yake kesho tunawapelekea moto wa hatari hawa nyani wa pori la Utopolo

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mambo ya CAF hayo.
IMG-20211210-WA0007.jpg
 
Kumbe umejiunga jamii forum JULY 2021

UNA MIEZI MINNE HUMU JUKWAANI.

SIYO KOSA LAKO. KUKU MGENI HAKOSI KAMBA MGUUNI.

Karibu If mkuu.
Kwa taarifa yako nina ID tano za JF, hii ni ya mwisho na kuna nyingine nne na zote zina operate kwa ratiba maalum

Account ya kwanza ipo tangu 2010 na nilianza kuperuzi humu tangu 2008 bila kuwa na account

Kwahyo nina miaka 13 ndani ya JF

NB:Huwa sichagui silaha ya kumpigia mtu hasa nikiwa katika ya vita na mm muda wote nipo kwenye vita
 
Kwa taarifa yako nina ID tano za JF, hii ni ya mwisho na kuna nyingine nne na zote zina operate kwa ratiba maalum

Account ya kwanza ipo tangu 2010 na nilianza kuperuzi humu tangu 2008 bila kuwa na account

Kwahyo nina miaka 13 ndani ya JF

NB:Huwa sichagui silaha ya kumpigia mtu hasa nikiwa katika ya vita na mm muda wote nipo kwenye vita
Hakuna mpumbavu SMART.

Wewe mmoja wao.

Una miezi 4 jf.

Karibu!
 
Tarajia vichwa vya habari magazetini kesho kusomeka kama " GSM abanduliwa lupaso" .
 
Back
Top Bottom