Kweli tulitokana na huyu jamaa?

Si kweli. Kama ni hivyo mbona hawa bado wapo na hawabadili kuwa binadamu.
 
dah me bado siamini, mbona watoto wanaozaliwa hawapitii kwenye unyani au usokwe halafu ndio wawe binaadamu !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…