Kweli uchawi upo Duniani Baleke sio wakumuweka Bench Mosses Phiri

WATU wengine washamba sana.

1: Moses phili ni Mchezaji No 10.
Hucheza pia force 9

Kwenye No 10
Simba Ina wachezaji kama.
Chama
Saido Ntibazonkiza nk

2: Huyo phili hakuna mchezaji hapo.
Phili ameanza kukataliwa na MAKOCHA wenye UWEZO na wasomi.
tangu enzi za Zolan Mark phili ameshindwa kumpambania namba.

Akaja Robertinho napo ameshindwa kupata Nafasi.

3 Nilipo ANGALIA Mechi ya yanga na Simba kiufundi kabisa Ile ya 1-1 Azizi ki na Okra.
Phili aliocheza dk 90 hakuweza kupiga hata shuti Moja

JUZI nimemuangalia na power Dynamo nimebaini na kujilidhisha kuwa Mule hamna mchezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…