Kweli uchawi upo Duniani Baleke sio wakumuweka Bench Mosses Phiri

Kweli uchawi upo Duniani Baleke sio wakumuweka Bench Mosses Phiri

WATU wengine washamba sana.

1: Moses phili ni Mchezaji No 10.
Hucheza pia force 9

Kwenye No 10
Simba Ina wachezaji kama.
Chama
Saido Ntibazonkiza nk

2: Huyo phili hakuna mchezaji hapo.
Phili ameanza kukataliwa na MAKOCHA wenye UWEZO na wasomi.
tangu enzi za Zolan Mark phili ameshindwa kumpambania namba.

Akaja Robertinho napo ameshindwa kupata Nafasi.

3 Nilipo ANGALIA Mechi ya yanga na Simba kiufundi kabisa Ile ya 1-1 Azizi ki na Okra.
Phili aliocheza dk 90 hakuweza kupiga hata shuti Moja

JUZI nimemuangalia na power Dynamo nimebaini na kujilidhisha kuwa Mule hamna mchezaji
 
Back
Top Bottom