MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Ha ha ha zile ni sehemu hatarishi...nilikuwa na rafiki yangu mmoja kakulia Canada alikuwa ananisumbua kweli twende uswazi...! Anakwambia huko watu ndio wako real
Niko lindo.Wewe mwenyewe mida hii unafanya nini humu?
Mmmh haya bwana.
Hizo story zenu tu,kweli mnakula ujana.Mbona unaguna tena mama ???
Namlinda kaka yangu Malcom LumumbaUsitanie kazi za watu wewe au lindo chumbani kwako?
Ooooh!!! Kumbe zilipendwa!!Hapana humu tunakumbushia ZILIPENDWA !
Hizo story zenu tu,kweli mnakula ujana.
Namlinda kaka yangu Malcom Lumumba
My kaka wewe starehe yako nini?Hahaha halafu walaaa.
Mimi siku hiyo niliwapeleka wageni wangu ndiyo yakatokea hayo!
Mimi starehe yangu siyo hiyo kabisaaa!
My kaka wewe starehe yako nini?
Kweli ujana umeufaidi, hope yo done for good.
Yeye ndio kaanza maswali nafuata nyayo zake tu...
We are done for good.
Tulikula....
Uwe mlevi mstaarabu sasa..usije kuharibu nyumbani