Kweli Ukikua Utaacha.....

Kweli Ukikua Utaacha.....

Ha ha ha zile ni sehemu hatarishi...nilikuwa na rafiki yangu mmoja kakulia Canada alikuwa ananisumbua kweli twende uswazi...! Anakwambia huko watu ndio wako real

Uswazi dunia nzima huwa kunakuwaga na raha zake.
 
Kweli kukaa uswazi noma....saa saba usiku hii umeme umekatika! Mkata umeme ana makusudi sana...
 
Back
Top Bottom