only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,527
Nimekuwa nikijiuliza kwanini watanzania wengi wanapenda kushabikia na kushangilia timu za ulaya..utakuta mtu mweusi kutoka kule Musoma amevaa jezi imeandikwa Chacharito,Rooney nk...katika moja ya policy ya kuingiza ukoloni mamboleo ni kuwafanya watu weusi wadharau mambo yao..ni watu wachache sana wanaovaa jezi za timu kama Simba,Yanga,Azam FC,Mtibwa nk.....Tuacheni utumwa huo jamani turudini nyumbani tuone namna ya kukuza soka letu.....