Unajiunga vipi. Naomba msaada wakoNilibahatika kuja Dar es Salaam kwa safari ya kibinafsi na mojawapo la tatizo la Dar ni usafiri. Kwenye hoteli niliyofikia nikawauliza usafiri utakaonisaidia nikiwa Dar na wakanishauri nijiunge na bolt. Kwa kweli usafiri wa bolt ni poa sana.
Unaweza kusafiri na bolt toka Sinza na kwenda katikati ya Jiji unaweza kulipa kuanzia 6,000 mpaka 8,000 wakati taxi za kawaida unaweza kulipa mpaka 20,000. Kutoka Sinza mpaka airport nililipa 13,000 wakati taxi za kawaida ni Tshs.25,000. Kweli usafiri wa bolt una unafuu sana katika Jiji la Dar.
Huwezi futa ukweliI agree with you, uber is far better and reliable than any other
Mimi kwa daladala buku tu nimeenda na kurudi....Nilibahatika kuja Dar es Salaam kwa safari ya kibinafsi na mojawapo la tatizo la Dar ni usafiri. Kwenye hoteli niliyofikia nikawauliza usafiri utakaonisaidia nikiwa Dar na wakanishauri nijiunge na bolt. Kwa kweli usafiri wa bolt ni poa sana.
Unaweza kusafiri na bolt toka Sinza na kwenda katikati ya Jiji unaweza kulipa kuanzia 6,000 mpaka 8,000 wakati taxi za kawaida unaweza kulipa mpaka 20,000.
Kutoka Sinza mpaka airport nililipa 13,000 wakati taxi za kawaida ni Tshs.25,000. Kweli usafiri wa bolt una unafuu sana katika Jiji la Dar.
Wewe hukai dar umejuaje kama dar kuna tatizo la usafiri na wewe sio mwenyeji wa dar ?Nilibahatika kuja Dar es Salaam kwa safari ya kibinafsi na mojawapo la tatizo la Dar ni usafiri. Kwenye hoteli niliyofikia nikawauliza usafiri utakaonisaidia nikiwa Dar na wakanishauri nijiunge na bolt. Kwa kweli usafiri wa bolt ni poa sana.
Unaweza kusafiri na bolt toka Sinza na kwenda katikati ya Jiji unaweza kulipa kuanzia 6,000 mpaka 8,000 wakati taxi za kawaida unaweza kulipa mpaka 20,000.
Kutoka Sinza mpaka airport nililipa 13,000 wakati taxi za kawaida ni Tshs.25,000. Kweli usafiri wa bolt una unafuu sana katika Jiji la Dar.
Watu wachokozi sn..kwamba ndege JOHN Kwa mlevi mbwa Hadi anapotea njia ya kwao kiasi cha kumshauri atumie boltπHonestly hata ukiwa na usafiri wako mwenyewe afu unapiga tungi I'd rather utumie Bolt au Uber. ndege JOHN π€£π€£π€£ππ
Unatafuta Makofiππ..Mimi siyo mshamba kiasi cha kushangaa shangaa barabarani na kupotea kwenye hili jiji.Wewe km unatafuta dereva binafsi Mimi nipo,nazijua chocho zote za huu mji hata uniamshe saa nane usiku,sipotei popoteBila hiyo nusanusa watakulaza Central Sanaaaa.
Pia ukiwa mgeni mjini hapa badala ya kutafuta kuchuniwa gari na kuambulia matusi kisa unapotea potea tu na kushangaa barabarani bora upaki gari hotelini utumie Bolt au Uber Satoh Hirosh ππππ€£π€£π€£.
Its safer and more convinient.
Nimemshauri tu ndege JOHN na wewe pia.ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππWatu wachokozi sn..kwamba ndege JOHN Kwa mlevi mbwa Hadi anapotea njia ya kwao kiasi cha kumshauri atumie boltπ
Unatafuta Makofiππ..Mimi siyo mshamba kiasi cha kushangaa shangaa barabarani na kupotea kwenye hili jiji.Wewe km unatafuta dereva binafsi Mimi nipo,nazijua chocho zote za huu mji hata uniamshe saa nane usiku,sipotei popote
Mkorofi sn weweπ ..huu siyo ushauri ni dhereuu!!Nimemshauri tu ndege JOHN na wewe pia.ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ
HahahahahOk lipia TANGAZO
USSR
Wee subiri jumamosi ifikeKama ingekuwa rahisi ivo bas hata love connect isingekuwepo...maana watu wanavyohaha kule
Bolt unalipa pesa sawa na Boda tu.. kutoka Sinza kwenda Airport boda ya kawaida ni 15-20Nilibahatika kuja Dar es Salaam kwa safari ya kibinafsi na mojawapo la tatizo la Dar ni usafiri. Kwenye hoteli niliyofikia nikawauliza usafiri utakaonisaidia nikiwa Dar na wakanishauri nijiunge na bolt. Kwa kweli usafiri wa bolt ni poa sana.
Unaweza kusafiri na bolt toka Sinza na kwenda katikati ya Jiji unaweza kulipa kuanzia 6,000 mpaka 8,000 wakati taxi za kawaida unaweza kulipa mpaka 20,000.
Kutoka Sinza mpaka airport nililipa 13,000 wakati taxi za kawaida ni Tshs.25,000. Kweli usafiri wa bolt una unafuu sana katika Jiji la Dar.
ujiunge then uitumie wapi?Unajiunga vipi. Naomba msaada wako