Kweli usiwaamini wanasiasa. Kwenye kampeni wanagawa bure kofia, tisheti, kanga nchi nzima, lakini wameshindwa kugawa barakoa hata kwa Dar pekee.

Kweli usiwaamini wanasiasa. Kwenye kampeni wanagawa bure kofia, tisheti, kanga nchi nzima, lakini wameshindwa kugawa barakoa hata kwa Dar pekee.

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Wanasiasa mnatuangusha. Tulitegemea hata chama kimoja kijitokeze kugawa bure barakoa kwa nchi nzima Kama ambavyo mmekuwa mkifanya kipindi Cha uchaguzi, ambapo huwa man uwezo wa kugawa tisheti, kofia, kanga na vitu vingine vingi nchi nzima.

Huu ndo wakati wenu tunawaomba mjitokeze.
 
Hivi unadhani kuna kiongozi anapenda kuhangaika na Wa-Tz wenzake.....sisi huku kwetu tulishakata tamaa, kuwa kiongozi ni kama biashara nyingine tu
 
FB_IMG_1575390792397.jpg
FB_IMG_1575390806699.jpg
FB_IMG_1575390800494.jpg
 
Wanasiasa mnatuangusha. Tulitegemea hata chama kimoja kijitokeze kugawa bure barakoa kwa nchi nzima Kama ambavyo mmekuwa mkifanya kipindi Cha uchaguzi, ambapo huwa man uwezo wa kugawa tisheti, kofia, kanga na vitu vingine vingi nchi nzima.

Huu ndo wakati wenu tunawaomba mjitokeze.
Yani mkuu siku hizi hamna cha chardeima wala sisiem wote kimya dahh ila wanasiasa hawa
 
Kiongozi mzuri, hasubiri majanga kusaidia watu,

ukiona mtu anapenda kusaidia Wakati wa msiba/ mtu hadi umefiwa ndio atoe msaada, huyo hata kama ni Rafiki yako fukuza hana Utu kabisa
 
Ni maoni yangu tu, kuwa wale wenye Tabia za kugawa t shirt, khanga, vilemba, skafu na kofia kipindi Cha uchaguzi safari watupe barakoa. Tunahitaji mno barakoa kuliko hizo fulana. Kama kweli wanathamini Maisha ya wapiga kura wao masikini Basi wawajali kwa kuokoa Maisha yao.
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom