Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Kwa kuzingatia matokeo mabovu ya timu yetu ya soka ya taifa ni aibu sasa kuendelea kuiita "TAIFA STARS". Nashauri kabla ya kuanza kubadiri benchi la ufundi la timu hiyo ni bora kulibadiri jina na kutafuta jina la kutangaza utalii wetu tuliobarikiwa na Mwenyezi Mungu. Narejea tena ni AIBU kuendelea kutumia jina la "Taifa Stars" kwa muendelezo huu wa kudidimia kwa soka letu.
NB:- Timu ikiwa na kocha wa kigeni ikifanya vizuri (Maximo) kelele na ikifanya vibaya (Martinooj) kelele. Sasa ina kocha (benchi la ufundi) mzawa na haijafanya vizuri si katika michezo ya kirafiki lakini wapiga kelele wamekaa kimya kabisaaaa. Unafiki huu.
NB:- Timu ikiwa na kocha wa kigeni ikifanya vizuri (Maximo) kelele na ikifanya vibaya (Martinooj) kelele. Sasa ina kocha (benchi la ufundi) mzawa na haijafanya vizuri si katika michezo ya kirafiki lakini wapiga kelele wamekaa kimya kabisaaaa. Unafiki huu.
