ndugaseli
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 869
- 2,405
Habari zenu wakuu? Mi sitaki kusema mengi naandka uzi huu nikiwa nimejaa na huzuni kutokana na kitendo kilichotokea.
Ilikuwa majira ya saa 5 usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi nilikuwa nasafiri naelekea Congo na rafiki yangu na gari za IT nikiwa kama dereva pamoja na rafiki yangu tuliamua kuchagua sehemu ya kuweka mafuta tukitoka bandarini itakuwa tabata sheli ya puma wengine wanapaita Alhamza.
Baada ya kufika pale tukapata huduma nzuri tu ya mafuta mimi pamoja na rafiki yangu tukasema usiku huu ngoja tukacheki chochote ili kuweka tumbo sawa tukavuka barabara upande wa pili kama unarudi G/mboto kuna kituo cha daladala pembeni yake wanauza chipsi tkaketi pale tukaanza kula chips.
Akata zoezi la kula chips linaendelea akaj kijana mmoja mvuta bangi akiwa kalegea legea kavaa na hereni sikio la kushoto alivyokuja alikuja kwa heshima na kusema bro mi sijala toka jana tafadhali nisaidien ata buku ili nile yule mwenzangu akamwambia yule dogo kwa ukali bhana sisi hatuna pesa siku nyingne Mungu akipenda tutacheki tu.
Dogo akaondoka akaenda kwa washikaji zake mara wakaja watu kama watatu hivi nao walikuwa wakidai kua hawajala yule rafiki yangu niliyekua naye akasema mkuu twende fasta linaweza tokea lolote akati tunavuka barabara kikaja kile kidogo cha mara ya kwanza kikasema bro haiwezekeni nipeni hata buku yule rafikii yangu akatoa buku akampa kosa likaanzia hapo dogo akataka pesa zote alizorudishiwa chenchi jamaa wakati ananua chips apewe yeye tena akisema maneno ya ukali acheni usenge toeni hiyo pesa fasta.
Yule rafiki akakabwa na yule dogo ndipo asira ziliponishika na kupiga ngumi moja hadi yule dogo akanguka chini baada ya kuanguka chini wenzake wakaja kwahiyo tukawa tunapambana na watu kama wanne kwa mtu mbili huku tukisema wezi, wezi, cha ajabu nilichokiona mpaka naandka uzi huu ni kwamba wakaja wanaume kama kumi nikajua yes nimepata kampani ila walipofika wakaanza kushangaa tunavyopigana na wezi kwa kweli nilihuzunika sana na ni tukio ambalo sitakuja kulisahau katika maisha yangu lakini mpaka sahivi najiuliza wanaume wa Dar wanamatatzo gani jamani hata kutoa msaada wa kumkamata mwizi inakua shida.
Nikarudisha akili nyuma juu ya tukio la Panya road lilivyoshndwa kudhibitiwa tamko kali lilitoka dhidi ya wanaume wa mikoan tena wale wa mara.
Namalizia kwa kutoa wito kwenu wadau mtoe maoni yenu nini kifanyike kuhusu wenzetu wa Dar.
Ilikuwa majira ya saa 5 usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi nilikuwa nasafiri naelekea Congo na rafiki yangu na gari za IT nikiwa kama dereva pamoja na rafiki yangu tuliamua kuchagua sehemu ya kuweka mafuta tukitoka bandarini itakuwa tabata sheli ya puma wengine wanapaita Alhamza.
Baada ya kufika pale tukapata huduma nzuri tu ya mafuta mimi pamoja na rafiki yangu tukasema usiku huu ngoja tukacheki chochote ili kuweka tumbo sawa tukavuka barabara upande wa pili kama unarudi G/mboto kuna kituo cha daladala pembeni yake wanauza chipsi tkaketi pale tukaanza kula chips.
Akata zoezi la kula chips linaendelea akaj kijana mmoja mvuta bangi akiwa kalegea legea kavaa na hereni sikio la kushoto alivyokuja alikuja kwa heshima na kusema bro mi sijala toka jana tafadhali nisaidien ata buku ili nile yule mwenzangu akamwambia yule dogo kwa ukali bhana sisi hatuna pesa siku nyingne Mungu akipenda tutacheki tu.
Dogo akaondoka akaenda kwa washikaji zake mara wakaja watu kama watatu hivi nao walikuwa wakidai kua hawajala yule rafiki yangu niliyekua naye akasema mkuu twende fasta linaweza tokea lolote akati tunavuka barabara kikaja kile kidogo cha mara ya kwanza kikasema bro haiwezekeni nipeni hata buku yule rafikii yangu akatoa buku akampa kosa likaanzia hapo dogo akataka pesa zote alizorudishiwa chenchi jamaa wakati ananua chips apewe yeye tena akisema maneno ya ukali acheni usenge toeni hiyo pesa fasta.
Yule rafiki akakabwa na yule dogo ndipo asira ziliponishika na kupiga ngumi moja hadi yule dogo akanguka chini baada ya kuanguka chini wenzake wakaja kwahiyo tukawa tunapambana na watu kama wanne kwa mtu mbili huku tukisema wezi, wezi, cha ajabu nilichokiona mpaka naandka uzi huu ni kwamba wakaja wanaume kama kumi nikajua yes nimepata kampani ila walipofika wakaanza kushangaa tunavyopigana na wezi kwa kweli nilihuzunika sana na ni tukio ambalo sitakuja kulisahau katika maisha yangu lakini mpaka sahivi najiuliza wanaume wa Dar wanamatatzo gani jamani hata kutoa msaada wa kumkamata mwizi inakua shida.
Nikarudisha akili nyuma juu ya tukio la Panya road lilivyoshndwa kudhibitiwa tamko kali lilitoka dhidi ya wanaume wa mikoan tena wale wa mara.
Namalizia kwa kutoa wito kwenu wadau mtoe maoni yenu nini kifanyike kuhusu wenzetu wa Dar.