1) Dawa yao kageuza wake na mabeki 3 mikoani, ha linaakuna namna Mkuu
Halafu nirudi kwako
Mjini shule mkuu, Wanaume wa mjini watasaidia vipi matumbo matupu? Wakikusaidia unawaongezea njaa tu, sio sawa na mikoani chakula bure tu unavamia hata shamba la mihogo unaji sevia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee jamaa kibokoSasa hivi wameanza kuhamia dodoma. Wanaume wa Dom msikubali hawa jamaa wa dar watembee na dada zenu wasijezalisha machotara wenye tabia kama zao
Sent using Jamii Forums mobile app
upo sahihi mkuuHilo ndilo kundi kubwa linalotumika kulia kila mahali.Magufuli kabana hela.Ni rahisi kuwatumia unavyotaka.Wanaamini Dar ndiyo Tanzania,namna yao ya kuishi wanaamini ndiyo kielelezo cha Tanzania.
Kumbuka 10% ya watanzania wapo Dar, na kundi kubwa kati yao wamekimbia walipozaliwa kwa kuepuka majukumu wakidhani Dar kuna mteremko.
Kula chipsi siyo tatizo , inategemea zinaliwa katika mazingira gani.Eti ninakula chips
Bila hata aibu
We wa mikoani siku nyingine utatafunwa siyo siri, chips waachie wenyewe na mamiregezo yao
Sasa ukianza na kupaka poda si ndo umekwisha tena, utaanzaje kurudi tarime
Yaani nimekuelewa kama vile unasifia ujinga.Ah Mtu Anaanika Ushamba Wake Hadharan Unafkr Nn! Mbeya Mjini Ikifka Saa Tatu Ucku Bado Unazurura Kitakachokukuta Uclaumu Watu, Arusha Kukabwa Saa11 Au 12 Jioni Co Kitu Cha Kushangaa. Af Et Mvuta Bangi Kalegea, Unaijua Bangi Ww? Mkija Mjini Muwe Mnauliza Msijfanye Wajuaji. Kuna Mama Alikabwa Airport Dar Saa11 Alfajir Na Magari Yanapita Hakuna Linalo Cmama Kumpa Msaada, Watu Wapo Kazn. Ukivamiwa Na Majambaz, Police Wanakuja Baada Ya Majambaz Kusepa. Ukilewa Chakali Ukazima, Wengine Watakusachi Na Wengine Watakulawiti, Ni Kuishi Kwa Hesabu Tu, Mnaolalamika Ni Wa Mikoani
Yaani nimekuelewa kama vile unasifia ujinga.
Mmama kubakwa na magari ysnampita bila kumsaidia nacho ni cha kujisifu?
dah kweli mkuuu lakn nilishndwa kupata msaada kwa sababu wanawafaham sanaMimi kama mwanaume wa dar nakupo pole kwa tukio baya namna hii. Lkn sio wanaume wote wa dar wako hivyo. Ingekua yombo mwisho wa lami imetokea hii ungeona msaada wa wanaume waojitokeza sisi huku tupo vizri tuna misuli ya kutosha tungepambana nao,maana sisi tunapinga hasa vitendo kama hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app