Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akafie mbele hukoooo.........
Huyo mimi binafsi nisingethubutu hata kumpa nafasi ya kuomba msamaha
Wewe kweli ni mtu wa ajabu!
Kama jini sio?
Huyo mimi binafsi nisingethubutu hata kumpa nafasi ya kuomba msamaha
swali hapa ni kwa nini huyu mwanamke'hakutafuta' kidume kingine
cha kum replace huyo..'b.w.e.g.e ?????????????
hapo ndo pagumu cause kwa kipindi chote alikuwa anakaa na wanae tu...
Heheheheee wengine tukisema kile tunachotaka kusema tutaitwa watu wa ajabu bure. Kwa hiyo ngoja tu niseme kile kilicho 'mainstream' kwenye MMU ya JF.
Huyo mwanamke amsamehe huyo mumewe mara sabini. Amsamehe na waendelee kuishi pamoja. Kusamehe na kusameheana ndo mpango mzima. Hata mungu anasema hivyo.
Ningemfukuzilia mbali,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,shetani or not!!
maisha ni kusameheana, amwache aishi naye but kwa masharti ya mama.
Ningemsamehe
kwa hiyo unamkaribisha kama house boy au baba wa watoto wako? na alale chumba cha watoto siyo?Mimi namkaribisha tu,Ila ndoa hamna.