joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ktk maisha hamna kitu kizuri kama kujiamini na hamna kitu kibaya kama uoga na unyonge.Mwisho wa siku nina uhakika CMG watakaa chini na WCB wataongea kibiashara na si Kiushikaji kama zamani na watapewa mpuga mrefu huku wale wasanii wengine wakiishia wakinung'unika ,kwasababu ktk entertainment industry ya bongo ni ngumu kuwaepuka WCB.Kwani Youtube na social network zote wameshika wao,mf humu jf ktk jukwaa la Celebrities piga ua galagaza lazima ukutane na uzi wowote wa member wa WCB ,ukija huku mtaani na kwenye vibanda vya kuingiza nyimbo zote wameshika wao.