Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

Kwa mila za kwetu pwani, mtoto wa kike akiolewa hufungashiwa kila kitu, tena hii ilikuwa kama ada , kwanini uende kwa mumeo huna hata kitanda? hii ni aibu sana .
 
Last edited by a moderator:
Raha ya maisha ya ndoa ni kuanza pamoja. Mambo ya kufungashiana makontena ya nini bana?
Mnakaa na mumeo/mkeo mnatafuta shilingi kwa pamoja na kupanga nini cha kufanya/kununua kwa wakati gani.
Nimekula wa chuya...kumbe huna mpango wa kunifungashia siku ya sendof yangu???sio vizuri hivo dady.
 
Njoo kama ulivyo,
Ilill ukiondoka uondoke kama ulivyokuja!!
 
Nimekula wa chuya...kumbe huna mpango wa kunifungashia siku ya sendof yangu???sio vizuri hivo dady.

Ha ha haa imekula kwako hakuna container hapa mnakwenda kuanza kwa pamoja.
Mkifungashiwa macontainer mnakuwa na dharau kwa waume zenu. Hata kitanda cha kulala na mumeo nikununulie mimi!?
 
begi au kila kitu yote tisa na kumi ni moyoni mwako unacho cha kulonga?......it is about the heart and not material possessions..........
 
Like, like, like x100000000000000000000000000000

Hitimisho: Kongosho, cacico na BADILI TABIA wataendelea kuwa wake wenzangu(si kwako lakini ujue......wenyewe wanaelewa kila mtu kivyake vyake) UTAJIJUUUU


Yummy mkemwenza!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! imekuaje hapa?


Asprin una mkono wangu wa pongezi hapo
na viti virefu vinakuhusu
sasa wapi kikao leo
Ila mwangalie sana Erickb52 bado ana hamu na cacico na BADILI TABIA

Mr Rocky, majungu umeanza lini?


Niachie aendelee kuwa mke mwenza na Dena Amsi na Dena Amsi anabakia kuwa nyumba kubwa isiyo na wasi wasi

:target::ballchain:

Deal signed.... Yummy is now yours!!

uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!! :A S-cry:



Kalaghabaho......wenzio wananiita jemadari la mapenzi

:bump2::hug:

Acha longolongo weweeeee...........kama we umeshindwa acha wenzio wafaudu aluuuuuu. Na huwezi mkonvinsi Mr Rocky aachie ngazi ujue

:flock:

Me love you three my dear wife
Mwache Erickb52 apate wivu hapa
ameachwa na wake zake wote na kwa sasa kaamua kwenda kukaa kwa mromboo mawazo yake anawategea akina cacico wakienda kununu anyama awavamie

alamsiki..................
 
Last edited by a moderator:
Kama kuna uwezekano unaenda umejipanga kama huyo mdada uliyemsimulia.!
 
smile,alichofanya huyo mama ni vizuri tu,mdogo wangu kuta zinaficha mengi,wanawake wengi tu wanaenda kwa waume wakiwa wamechukua vitu kibao,kama mumeo hajiwezi kifedha,unampiga tafu ndo malavidavi hayo,ila mimi kama huyo msichana angekuwa mwanangu ningeamua baadhi ya vitu kumpa mwanaume aonekane nae kaoa akiwa kajiandaa kidogo kama vitanda,magodoro,n.k,ingekuwa siri yetu mimi kama mzazi wa msichana na mkwe wangu!wapo wazazi upande wa kikeni wanawapa watoto wao yaani binti yao na mumewe magari siku ya harusi na funguo anakabidhiwa mume kwa heshima kabisa,hata nyumba wanapewa pamoja na mazawadi kibao!
 
mimi naona kafanya vyema kumsaidia mumewe mume anasafari ndefu ya kuiangalia familia
 
Ha ha ha ha jamani shem nimekukosea nini tena mpaka unanipaka matope kiasi hiki wajaemeni??? Duuuhhhh

Sijaona dalili za wewe kunipigia debe hapa zaidi ya ku expose mambo ya kwetu, that's why nikapata mashaka kama tuko pamoja.

He ZD nilikuwa sina habari kama shem wangu ni Dady wako mweeehhh kumbe mie Mama mdogo...........tuheshimiane kuanzia sasa sawa???

Kama alikuwa hajui basi mwanangu mpendwa Zion Daughter bila shaka utakuwa umemsoma mamdogo hapo.

Mwita huyo ndugu yako Magessa kanikosea sana mmmhhhh

shem Dena Amsi ndugu yangu magesa kakukosea nini tena? ni nini mbaya?...
 
Last edited by a moderator:
Hivi huu ufisadi wa kumfisadi wa siri wangu mwaJ nani aliuruhusu? Hommie Asprin unayataka yale ya daudi mfalme na askari wake? Hivi shemeji yangu cacico hukuyaona haya ukanistua? Sweetlo gfsonwin mpz hukuona kama Mwita Maranya ana nia mbaya na msiri wangu?

Kwa nini mnayaruhusu haya yatokee? mwaJ popote ulipo umepewa nini tukirudishe sitaki habari ya simba ya rage na
Mbuyu twite!!
 
Last edited by a moderator:

Walaaaaaaaa! Mie sijapewa chochote zaidi ya ahadi kem kem toka kwa Mwita Maranya. Yaani alinishushia mistari inashawishi hiyo! Ila nilikuwa bado sijakubali mpaka hapo suala la msingi la usalama wangu litakapowekwa sawa.
 
Last edited by a moderator:
Mahusiano ya sahivi kama ulikuwa serious nayo hadi uingie ndani ya ndoa unaweza kuta ulishanunua vitu vingi tu vya humo ndani (labda kama huyo mwanaume alikuwa anaishi na mtu before). Si ajabu hata hayo mabegi ya nguo yalishatangulia. Hapa nafikiri utaangalia na mazingira mliyokuwa nayo kabla ya ndoa. Unaweza ukaenda na handbag tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…