Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Sasa na we Mwita Maranya uwe unafikia mahali unaeleweka sa ndo nini hivyo mboma mwaJ umemmwagia verse zote hizo wakati mi hamna hata moja????????sasa unafikiri nitaingiaje lain????
Ha ha haaa Blue G umeshaanza wivu mara hii tu! usikonde mtu wangu nakuandalia verse za kipekee hadi utashindwa kuamini macho yako.
Last edited by a moderator: