Kwenda mbiguni kwa elfu 20 wachache tungetoboa kama watz Kauli ya mh Heche , Wasira na uzee wako njoo.

Kwenda mbiguni kwa elfu 20 wachache tungetoboa kama watz Kauli ya mh Heche , Wasira na uzee wako njoo.

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake .

Mh Mbowe amelitendea haki Taifa , kwa kuwapika vijana, leo chadema ni Taifa jingine .

Tumeanza kuona ccm inapigwa kama ngoma chini ya uongozi mpya wa chadema.

Mbaya na kutosha M/ mwenyekiti Chadema anasema KAMA KWENDA MBINGUUNI Gharama ingekua elfu 20 ,watz tusingetoboa.

Kwa mjinga / chawa , hawezi elewa maneno haya maana uchawa ni laana,

Note
Namtaka M/ mwenyekiti ccm jibu hili kama kweli yupo na ubavu.

Tulisema na nasema ,wasira ameyatinga .

Wasira njoo hujibu,vinginevyo punguza kamdomo
 
Back
Top Bottom