unaweza kuwa sahihi kwa wakati lakini si mara zote.Raisi hatembelei sehemu kwa kukurupuka. Kuna utaratibu maalumu. Usalama wa Raisi ni kitu muhimu, hivyo kuna watu wanatumwa mapema kuangalia na kuandaa usalama wa Raisi kabla hajatembelea sehemu. Na ndiyo maana unaona mara nyingi Raisi anakuwa wa mwisho kufika sehemu kama hizo.
tunailaumu serikali ya Kikwete kwa kushindwa kutupatia maisha bora waliyo ahidi, tunaona wenzetu wanatenda ndivyo sivyo wakati waliomba kura wakijinadi wao ni suruhu ya matatizo ya kijamii na kiuchumi hapa TZ, SASA tunashangaa wenzetu wanaenda kushangaa Drogba wakati raia wanaendelea kuangamia na maji Kilosa na Dodoma, jamanii JK AMEZIDI .Hivi sisi hapa JF tumefanya nini kuwasaidia hao ndugu zetu wa Kilosa zaidi ya kukosoa tu serikali?
Ifike mahali sisi tuonyeshe kwa matendo kwamba tuko tofauti na serikali, kwa kufanya kwa vitendo yale ambayo tunailaumu serikali kushindwa kufanya.
umejichokea sana
Mkuu Mwanakijiji, kwa taarifa yako wapenzi wa kandanda tupo wengi sana humo na ajenda ya kumsakama mkulu kuhusu kabumbu haitaungwa mkono.
Mbona skandali ziko nyingi tu, si mtafute hoja nyingine?
Wakati wananchi wake hapo juu wanahangaika pa kula, kulala na afya zao!...
(Picha zote toka kwa Michuzi)
Hoja imejengwa humu na watetezi wa "majanga ya kitaifa hayazuii Rais kwenda kuburudika" na kuwa tukiwa na matatizo makubwa haina maana Rais hafanyi shughuli muhimu 'za' kitaifa. Watetezi hawa wametetea kwa nguvu mno kuwa ilimlazimu Rais Kikwete kwenda mpirani ili kuonesha uongozi na kuwa ilikuwa ni sehemu ya kazi yake!
Katika hili ninawaita hawa ni watetezi wa uzembe na mazingaombwe ya siasa na ulaghai wa uongozi kwa sababu ningewaita vingine ingekuwa ni heshima wasiyostahili!
Nilikuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa ya mafuriko makubwa siku ya Krismasi na kusema wazi kuwa "maafa yahofiwa". Nililiamsha tena taifa langu na kuliasa kujiandaa kama nilivyofanya zaidi ya mwaka mmoja uliopita katika makala ya "taifa lisiliojiandaa kwa majanga limejiandaa kwa maafa". Nilitegemea labda wangeamka!
Wakati watu wetu wanakosa pa kula na kulala, wakati watu wamekufa, wakati reli ya kati imechomolewa na usafiri kwenda bara kwa njia hiyo unakomeshwa kwa kiasi kikubwa hadi Aprili, watawala wetu wamekaa na kupiga picha na kina Ivory Coast katika kampeni ya "kulitangaza taifa".
Zaidi ya wiki mbili zinapita sasa Rais Kikwete hata kwenda kuwajulia hali wananchi wake huko Kilosa, Kongwa, Ruvuma n.k hajafanya hivyo kwa sababu yuko katika shughuli muhimu ya kitaifa!
Cha kushangaza (kama ilivyokuwa wakati akifunga 200 kwenye hotuba yake ya kuuaga mwaka 2009 hakuzungumzia lolote juu ya mafuriko na hali ya ndugu zetu hawa. Leo hii Msalaba Mwekundu wanahitaji karibu miliooni 300 kupeleka msaada; Leo hii Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa serikali imeionyoshea kidole Idara ya Maafa katika Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kuwa wazembe kila maafa yanapotokea!
Niiteni mlalamishi lakini sababu za yeye kutokugombea tena zinazidi kuongezeka.
Yaani wiki mbili zinapita...na anamuda wa kwenda mpirani, kuandaa dina, na bila ya shaka kufanya mambo mengine "muhimu".. it reminds me of another president in another country during a hurricane named Katrina!
Watetezi wake njooni mumtetee tena kwenye hili pia!
Wakati wananchi wake hapo juu wanahangaika pa kula, kulala na afya zao!...
(Picha zote toka kwa Michuzi)
Hoja imejengwa humu na watetezi wa "majanga ya kitaifa hayazuii Rais kwenda kuburudika" na kuwa tukiwa na matatizo makubwa haina maana Rais hafanyi shughuli muhimu 'za' kitaifa. Watetezi hawa wametetea kwa nguvu mno kuwa ilimlazimu Rais Kikwete kwenda mpirani ili kuonesha uongozi na kuwa ilikuwa ni sehemu ya kazi yake!
Katika hili ninawaita hawa ni watetezi wa uzembe na mazingaombwe ya siasa na ulaghai wa uongozi kwa sababu ningewaita vingine ingekuwa ni heshima wasiyostahili!
Nilikuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa ya mafuriko makubwa siku ya Krismasi na kusema wazi kuwa "maafa yahofiwa". Nililiamsha tena taifa langu na kuliasa kujiandaa kama nilivyofanya zaidi ya mwaka mmoja uliopita katika makala ya "taifa lisiliojiandaa kwa majanga limejiandaa kwa maafa". Nilitegemea labda wangeamka!
Wakati watu wetu wanakosa pa kula na kulala, wakati watu wamekufa, wakati reli ya kati imechomolewa na usafiri kwenda bara kwa njia hiyo unakomeshwa kwa kiasi kikubwa hadi Aprili, watawala wetu wamekaa na kupiga picha na kina Ivory Coast katika kampeni ya "kulitangaza taifa".
Zaidi ya wiki mbili zinapita sasa Rais Kikwete hata kwenda kuwajulia hali wananchi wake huko Kilosa, Kongwa, Ruvuma n.k hajafanya hivyo kwa sababu yuko katika shughuli muhimu ya kitaifa!
Cha kushangaza (kama ilivyokuwa wakati akifunga 200 kwenye hotuba yake ya kuuaga mwaka 2009 hakuzungumzia lolote juu ya mafuriko na hali ya ndugu zetu hawa. Leo hii Msalaba Mwekundu wanahitaji karibu miliooni 300 kupeleka msaada; Leo hii Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa serikali imeionyoshea kidole Idara ya Maafa katika Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kuwa wazembe kila maafa yanapotokea!
Niiteni mlalamishi lakini sababu za yeye kutokugombea tena zinazidi kuongezeka.
Yaani wiki mbili zinapita...na anamuda wa kwenda mpirani, kuandaa dina, na bila ya shaka kufanya mambo mengine "muhimu".. it reminds me of another president in another country during a hurricane named Katrina!
Watetezi wake njooni mumtetee tena kwenye hili pia!
Labda anakumbukia enzi zile za foreign affairs!!Hoja ipo Hapa, mi nadhani huyu jamaa hana washauri wenye busara, hata wakati wa milipuko ya mbagara ilimchukua muda mpaka kutembelea au kutoa tamko, na bila hata bunge kustka.....
lazima JK ajue anatakiwa ajijenge sana ndani sio nje...hiyo kazi aliyofanya inawenyewe....au hajui kazi yake????
Nadhani mjadala juu ya strengths na weaknesses za 'Muungwana' so far zimejadiliwa kwa mapana na marefu yote humu jamvini, naona kumekuwa na marudirudio mengi tu kiasi inaleta monotony sasa. Mimi nashauri (kama bado haijapendekezwa huko nyuma) sisi wana JF tuwe na position inayoeleweka kwa kutumia countable opinion polls........ so mods wetu waendeshe hiyo poll yenye motion "'Muungwana' anafaa kugombea 2010 au hafai" miongoni mwa wana-JF wote na jibu liwe 'Y' or 'N'. Polls ziwahusishe wana-JF ambao wamejiandikisha hadi kufikia muda pendekezo hili linatolewa tu (for obvious reasons!). Tusisubiri sijui REDET, etc tu. What about that??Hoja ipo Hapa, mi nadhani huyu jamaa hana washauri wenye busara, hata wakati wa milipuko ya mbagara ilimchukua muda mpaka kutembelea au kutoa tamko, na bila hata bunge kustka.....
lazima JK ajue anatakiwa ajijenge sana ndani sio nje...hiyo kazi aliyofanya inawenyewe....au hajui kazi yake????
Unaelekea kwenye ukweli (red)Mzee Mwkjj, haiingi akilini kwamba kweliwapo watu hapa JF ambao wanaweza kutetea vitendo vya rais bila kuwa na riziki fulani na Mheshimiwa (paid spin doctors, hanger on, opportunist etc).
Ingawa tunajaribu kutumia kila mbinu kumtetea lakini alichokifanya hakiwezi kutetewa. Ni kwamba ameonyesha wazi - HE DOES NOT CARE! He cares about his image and his pleasures... mi naamini kama tutampa kura (not collectively but individually) na hatumo katika kundi nililolitaja hapo juu basi ni wazi watz ni mabwege... sorry!!
Wadau, hivi tunamfanya Rais wetu kuwa ni Mzimu au Malaika (kuwa hana mwili)? Yaani kunapotokea jambo lazima awepo eneo la tukio? Nadhani tunakosea, yeye pia ana utashi na mapenzi yake binafsi na sil lazima aende kwenye kila tukio kwa wakati ambao tunadhani kwenye fikra zetu kuwa ni sahihi. Anaweza kuagiza Wasaidizi wake naye akatembelea eneo hilo siku atakapopata nafasi.
Naomba kuuliza, ni watu wangapi wamepoteza maisha huko Kilosa? Je, ni lazima Rais mwenyewe aende ndiyo tutaamini kuwa tatizo limeshughulikiwa?
jamani JK is doing fine.