Mkulu Mzee Mwanakijiji,
Unajua kila jambo linaenda na mahali husika. Hili unaweza kuliona jambo la ajabu kwa USA lakini kwa Afrika wala sio jambo la kushangaa. Watu wengi wako concerned na mafanikio ya timu ya taifa kuliko watu kwenye mafuriko huko Kilosa. Priorities zetu ziko mrama mno.
Hivi sisi hapa JF tumefanya nini kuwasaidia hao ndugu zetu wa Kilosa zaidi ya kukosoa tu serikali?
Ifike mahali sisi tuonyeshe kwa matendo kwamba tuko tofauti na serikali, kwa kufanya kwa vitendo yale ambayo tunailaumu serikali kushindwa kufanya.
Unajua kila jambo linaenda na mahali husika. Hili unaweza kuliona jambo la ajabu kwa USA lakini kwa Afrika wala sio jambo la kushangaa. Watu wengi wako concerned na mafanikio ya timu ya taifa kuliko watu kwenye mafuriko huko Kilosa. Priorities zetu ziko mrama mno.
Hivi sisi hapa JF tumefanya nini kuwasaidia hao ndugu zetu wa Kilosa zaidi ya kukosoa tu serikali?
Ifike mahali sisi tuonyeshe kwa matendo kwamba tuko tofauti na serikali, kwa kufanya kwa vitendo yale ambayo tunailaumu serikali kushindwa kufanya.