Kwenda Mpirani au kutembelea mafuriko?

Kwenda Mpirani au kutembelea mafuriko?

Umejichokea sana
___________________

Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj


Kibunango,

..............................Umekunywa bia nyingi kuzidi uwezo wako.



Anza kunywa maji sasa....................................
 
Hivi vipaumbele vyetu kama taifa ni nini? Tunajaribu ku achieve nini? Time frame ni ipi? Kila mtu anajua wajibu wake na haki zake?

Annina
 
Kama kashindwa kabisa awe anaangalia hata movie basi zitampa mafunzo flani... na recommend movie iitwayo '2012' aone rais anatakiwa kufanya nini wakati wa majanga ya kitaifa!
 
This kind of bullshit is what made me hate politics! Sina affiliation na chama chochote lakini nadhani siasa za Tanzania by far and large destroyed our society
 
Raisi anayejipendekeza kwa celebrities kama vile na yeye ni mtoto wa miaka 20 hatufai. Nadhani Drogba na wenzake watakuwa sasa wanaishangaa sana TZ kwa kuwa na raisi mshamba na mwenye tabia za kitoto.
 
Raisi anayejipendekeza kwa celebrities kama vile na yeye ni mtoto wa miaka 20 hatufai. Nadhani Drogba na wenzake watakuwa sasa wanaishangaa sana TZ kwa kuwa na raisi mshamba na mwenye tabia za kitoto.
matendo yake ya kitoto kwa kweli yanaudhi na kuutangazia ulimwengu ni mtu gani anaeiongoza nchi yetu.

Joke aside huyu jamaa inabidi aelewe he is a president mambo ya kufuata kombe la world cup sijui huu upuuzi wa kuwapa attention timu za mpira kwa ni kujionyesha priorities zake zikowapi.
 
Nilijitamkiaga mapema kuwa sababu ya kwanza kwa nini asigombee ni kwa kuwa anaumwa akili, mkanipiga masingi...
 
Raisi anayejipendekeza kwa celebrities kama vile na yeye ni mtoto wa miaka 20 hatufai. Nadhani Drogba na wenzake watakuwa sasa wanaishangaa sana TZ kwa kuwa na raisi mshamba na mwenye tabia za kitoto.

Chaguo la Mungu huyu! Wakkati sehemu mbali za nchi zimekumbwa na janga la mafuriko na kuleta maafa yeye badala ya kwenda kuwafariji na na kuangalia namna ya kuwasaidia ili kupunguza usumbufu mkubwa kutokana na maafa hayo yeye yuko busy kupiga picha na akina Drogba! Halafu watu wakisema hastahili kugombea 2010 anadai wana chuki binafsi kwake! Ama kweli tuna Rais goi goi tena limbukeni wa hali ya juu.
 
1.Mwanakjiji ulishanzisha thread sababu 51 kwanini Kikwete hafai kuogembea tena nafikiri hizo hoja zako zipeleke kwenye hiyo thread siyo kila baada ya siku mbili kutufungulia thread mpya kuhusu Kikwete,ina bore kwa kweli!
2.Navyo jua mie katika serikali ofisi ya waziri mkuu ndiye aliyepewa jukumu la maafa katika serikali na ina waziri anayeshuguhulikia masuala ya maafa kwani hao wameshaenda huko?Why kikwete only?Kwa kuwa Rais kila jambo afanye yeye?
 
1.Mwanakjiji ulishanzisha thread sababu 51 kwanini Kikwete hafai kuogembea tena nafikiri hizo hoja zako zipeleke kwenye hiyo thread siyo kila baada ya siku mbili kutufungulia thread mpya kuhusu Kikwete,ina bore kwa kweli!

Sijawahi kukuamulia wewe ni thread gani uanzishe, usome au usisome. Thread hii inasimama peke yake na ile nyingine inaendelea pasipo shaka. Kikwete ndiyo Rais wa nchi yetu kama hutaki mwambie atangaze kutokugombea au afanye kile anachopaswa kufanya kama rais, i.e kuonesha uongozi wakati unapohitajika.

2.Navyo jua mie katika serikali ofisi ya waziri mkuu ndiye aliyepewa jukumu la maafa katika serikali na ina waziri anayeshuguhulikia masuala ya maafa kwani hao wameshaenda huko?Why kikwete only?Kwa kuwa Rais kila jambo afanye yeye?

Sijui kama umemsikia Obama leo, the buck stop with the president; wakati wananchi wetu karibu 30,000 wanahangaika na kula na kulala na afya zao ziko matatani kwa sababu serikali inayoongozwa na JK imeshindwa kujiandaa na majanga mtu wa kwanza na wa mwisho kubeba lawama ni JK.

Kama wapo watu wengine wa kufanya mambo yanayopaswa kilichompeleka mpirani yeye ni nini na kuandaa hadi msosi wakati Bendera yupo na kina Tenga wapo?
 
mwacheni na yeye apumuzike kila siku kazi tu hiyo ni moja ya starehe yake
 
Mwacheni tu aendelee kuandaa lunch na kwenda kwenye mechi, mwenzetu labda anasubiri hadi wananchi wake wapoteze maisha kwa wingi ili aende akahudhurie mazishi na kujustify maombi ya misaada kwa wahisani.
 
Kuna mambo yanapotokea taifa linamhitaji Rais wake kuonesha uongozi; wakati watu zaidi ya 25,000 Kilosa peke yake hawana makazi tunahitaji kusikia Rais akilihamasisha Taifa; Hivi kweli wameshindwa kuhamasisha misaada kutoka sehemu mbalimbali za Watanzania tuchangie nguo, vyakula, n.k?

siyo kwenda tu; ni kuonesha uongozi wa kutatua matatizo ya wahusika. hivi unafikiri wale watu wa Kongwa na Kilosa au kule Lindi walikuwa wanafikiria mechi ya Ivory Coast?

Nadhani ni mpaka aende nje ya nchi kutafuta misaada.

Hivi amefanikiwa kiasi gani tangu aanze jitihada za kutafuta misaada nje ya nchi? Isije ikawa anatumia pesa nyingi anazopata misaada sehemu nyingine kuzungukia sehemu ambazo hapati kitu.
 

Nadhani ni mpaka aende nje ya nchi kutafuta misaada.

Hivi amefanikiwa kiasi gani tangu aanze jitihada za kutafuta misaada nje ya nchi? Isije ikawa anatumia pesa nyingi anazopata misaada sehemu nyingine kuzungukia sehemu ambazo hapati kitu.


umenichekesha na kunisikitisha kwa sababu yawezekana uko sahihi.
 
1.Mwanakjiji ulishanzisha thread sababu 51 kwanini Kikwete hafai kuogembea tena nafikiri hizo hoja zako zipeleke kwenye hiyo thread siyo kila baada ya siku mbili kutufungulia thread mpya kuhusu Kikwete,ina bore kwa kweli!
2.Navyo jua mie katika serikali ofisi ya waziri mkuu ndiye aliyepewa jukumu la maafa katika serikali na ina waziri anayeshuguhulikia masuala ya maafa kwani hao wameshaenda huko?Why kikwete only?Kwa kuwa Rais kila jambo afanye yeye?

Katika masuala ya majanga kama haya, ambapo wananchi wengi wanaathirika, tunategemea uongozi wa juu kabisa wa nchi kuchukua hatua na hata za kutoa pole. Ukimya mkubwa unazua kishindo kikubwa pia.

Mimi kwa kweli sijawachagua waziri Mkuu wala waziri anayeshughulika na masuala ya maafa. Inapoonekana serikali haifanyi jitihada zinazotegemewa, anaeweza kulaumiwa ni yule aliehakikishia watu kuwa angefanya kazi aliyoomba akapewa kura ya kuongoza nchi. Huyo ndiye tunaeweza kumuuliza mambo yakienda kombo. Hao wengine ni wake yeye, ashughulike nao.
 
Back
Top Bottom