Royal Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 909
- 1,717
Habari wakuu,
Mimi sio Mwandishi mzuri sana naenda kwenye Mada husika hivi mtu akishahitimu Chuo si anakuwa amemaliza. Na haitajiki kurudi mara kwa mara chuoni.
Sasa swali lilipo mbona hizi dini mtu alishabatizwa akapata Komunyo/Kipaimara au hata mafunzo ya ndoa sasa kuna uliza gani wakurudi Kanisa kila jumapili wakati keshapata mafunzo ya kutosha au hapo mimi ndio sielewi
Mimi sio Mwandishi mzuri sana naenda kwenye Mada husika hivi mtu akishahitimu Chuo si anakuwa amemaliza. Na haitajiki kurudi mara kwa mara chuoni.
Sasa swali lilipo mbona hizi dini mtu alishabatizwa akapata Komunyo/Kipaimara au hata mafunzo ya ndoa sasa kuna uliza gani wakurudi Kanisa kila jumapili wakati keshapata mafunzo ya kutosha au hapo mimi ndio sielewi