Mchunguzi Fukara
JF-Expert Member
- Dec 23, 2021
- 215
- 274
Oyaaa wanangu Charlie coy ya ruvu ndio ilikuwa combania yangu baadae tukahamishiwa mgambo jktBado wapo Buffen na Baba Hansy?
Danger coy palikuwa patamu sana ukilinganisha na Coy nyingine!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaaa wanangu Charlie coy ya ruvu ndio ilikuwa combania yangu baadae tukahamishiwa mgambo jktBado wapo Buffen na Baba Hansy?
Danger coy palikuwa patamu sana ukilinganisha na Coy nyingine!
Jmn uko jeshn kuzitoo.... Daah nakumbk nilikuwa mdg basi nasemea utamalza, sijui nn, khaaa kweny dojaa sipo, nikafuzu fresh nikarudii zangu kaskazn migombani uko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
Hamna matatizo nafikiri ni kuripoti baada ya mda wanatutawanya mkuuBounty hunter id ya kinyama ya kisolder hv mwili unamatatizo gani mpaka unapelekwa ruvu?
NitazingatiaUkisikia tu RSM.....
Usishangae sana!! Jibu Naaam afande!
Op gan?Oyaaa wanangu Charlie coy ya ruvu ndio ilikuwa combania yangu baadae tukahamishiwa mgambo jkt
Au hata miembeni tu paleMwambie chimbo la kudoji lipo kwa DOSA
Kila kitu kina bei yake na sio lazima ununue vyote kwa mara moja pia usidhani ukifika tu utaanza mafunzo hapana kuna wakati wa kukaa kusubiri pale.Kununua vifaa vyote inacost kama shilingi ngapi mkuu
MT 6 potee hawa madogo wa mujibu aisee wanaropokaropoka tuUmesema MT 691... Private??? aiseee huyu mzeee atakua ni muhuni sana na kichomi sana halafu kwanza kwa hiyo no mbona wote wamesha staaf?
Moderator pls mtoa hoja hana uwezo mkubwa wa kuandika sarufi kwa usahihi.Habari wapendwa Ivi wanaoripoti ruvu jkt tarehe 27 kuna utaratibu gani nauliza?
Hah huko malezi a.k.a mbogamboga watoto wasumbufu sana ujuaji mbovuMT 6 potee hawa madogo wa mujibu aisee wanaropokaropoka tu
Sikusoma kishazi kitekenyeshi ndugu nisameheme mie kwaiyo hiyo sarufi sijui mofimu sizikumbuki wala maana sijuiModerator pls mtoa hoja hana uwezo mkubwa wa kuandika sarufi kwa usahihi.
Neno ruvu lisomeke Ruvu. Kama ni graduate inaonesha namna gani atakavyokuwa siyo makini kwenye majukumu yake.
Inakera sana sana kuona mtu msomi au mwelewa akipuuzia usahihi wa sarufi kwenye mawasiliano