Na mvua inapiga balaaa
Habari za mida hi wakuu
Nipo apa posta nasubiria kilimanjaro expres tayar kwa kwenda nchi jiran zanzibar!!!!!
Swali langu ni je hiv hua kuna kupita hotelin kula( ilivo kwenye kutoka mkoni labda bukoba to dsm mnapita hotel kula)
Nawasilisha