Elections 2010 Kwenu ameahidi nini?

Elections 2010 Kwenu ameahidi nini?

Kwetu ameahidi tukimpa kura ataoa mke mwingine maaana anasema mke wake wa kwanza alioa kwetu.
 
Kwetu alikuja akaahidi daraja la kisasa tuweze kuvuka mto kirahisi . Tukamwambia hatuna mto. Akaahidi kutuletea na mto pia.

Sasa kipi kitatangulia? itabidi ajenge daraja kwanza ili akileta mto mpate kuuvuka kirahisi au alete mto kwanza kisha tuanze kujenga daraja? Teheeeeeeeeeeee:lol:
 
....kufufua viwanda vilivyokufa miaka zaidi ya 20 iliyopita.....hajasema how; atatafuta wawekezaji au CCM au ikulu au vipi? ipo haja ya wasaidizi wake wamshauri apunguze hizo consumer-based pledges maana zinamdhalilisha badala ya kumpa credit!!!
 
....kufufua viwanda vilivyokufa miaka zaidi ya 20 iliyopita.....hajasema how; atatafuta wawekezaji au CCM au ikulu au vipi? ipo haja ya wasaidizi wake wamshauri apunguze hizo consumer-based pledges maana zinamdhalilisha badala ya kumpa credit!!!


Ni bora akaimba nyimbo za Komba na TOT yao kuliko hivyo anavyofanya.
 
Back
Top Bottom